Mchakato Mahakama ya Mafisadi waanza

Mchakato Mahakama ya Mafisadi waanza

Wale watuhumiwa wa ESCROW wote waliochota Mkombozi bank pamoja na STANBIC nao ni wahusika wa hii mahakama.

Tuanze nao, maana tumejua wa Mkombozi tu lakini waliochota STANBIC vyombo husika vipo kimya hawajulikani na pia hatua zilizochukuliwa hata kwa hawa wa Mkombozi hazipo wazi.

Tunaomba serikali ichukue hatua kwani ni pesa za UMMA zile.
 
Kila anayeiogopa ni fisadi au ana element za ufisadi. Piga kazi JP Magufuli. Tupo nawe bega kwa bega
 
Hiyo itakuwa ni mahakama ya KISASI au mahakama Huru?? UHURU wake utakuwa UHURU wa namna gan???
 
Wafanye haraka kabla mtuhumiwa wa kwanza wa hiyo mahakama hajafa kwa parkinsonism

Angalia ndugu yangu acha kaabisa kumbip Mungu. Kwani simu ya mungu ina voucher ya kutosha haweki bukubuku ni Trillion voucher yake.

Mungu anaweza akakupigia muda wowote kabla ya huyo unayesema. Chunga sana kauli zako!!!!!!
 
mi ninachosubiria ni kuona itamfunga naniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?
 
Lazima utakuwa brainless. Hivi unyanyapaa ulijifunzia wapi? Angekuwa anaumes mamako au babako ungeandika hivi? Sikulaumu wewe Bali waliokufunza na kukuzaa jinga wewe.
 
FISADI ni nani??? Nini haswa tafsiri ya UFISADI kwa huyo anayetaka kuanzisha hii mahakama?
 
Hiyo mahakama itahusu yule waziri ayeliuza nyumba za serikali kwa hawara zake ?
Wale wa Escorw itawahusu pia?

Utajibiwa baada ya kuona zee la machooni (fisadi mkuu, Lowassa) likiwa linaburuzwa kortini.
 
Utajibiwa baada ya kuona zee la machooni (fisadi mkuu, Lowassa) likiwa linaburuzwa kortini.

Naamini sasa Lowassa lazima alishakuchokonoa na kukupumulia kisogoni. Aisifiaye mvua.......! Pole sana kama target yenu ni Lowassa, hamtakaa mfanikiwe katika hilo!
 
Hapa Lowasa nguo zinabana kazi anayo naiona jela hiyooooo kwa lowasa.
 
pale lumumba hapatabaki mtu ,,,maana yamejaa majamaa pale kazi kuifisadi nchi tu ... mi wamenidhulumu pesa zangu nyingi nikaamua kukimbia
 
Nijuavyo mimi UFISADI (kleptocracy) ni mfumo wa ?wizi? ambao kwa namna fulani ni kama umehalalishwa ndani ya mfumo mpana wa serikali au utawala ili uwanufaishe wateule (ruling elite). Mfano mzuri wa UFISADI hapa Tanzania ni hizo posho za makalio (sitting allowances) ambazo unaona hata Mhe Ndugai na waheshimiwa wabunge wanatetea; safari za nje zisikokuwa na tija bali kupeana per diems nono nono, (utaanzia wapi kumshtaki JK kwa safari zilizoikomba hazina?Uuzaji wa nyumba za serikali ilikuwa ni ufisadi lakini kikanuni inaonekana ni halali, nk. nk. Hapa huwezi ukamfungulia mashtaka mtu ye yote po pote pale kwa sababu ni kanuni (ndio uhalalishaji wake unapotokea) za utumishi ndivyo zinavyoruhusu. Kufungua mahakama ya ufisadi hakuna maana yo yote ile bila kubadilisha mfumo wa utumishi hususan kanuni ambazo ndio zinahalalisha huo ?wizi?. Kama JPM anataka kututhibitishia kuwa ana nia ya dhati na kutokomeza ufisadi, afufue mchakato wa katiba mpya kuanzia rasimu ya Warioba. Hii rasimu ilikuwa inapendekeza kitu ambacho tunaweza kukiita transformational changes (vs. cosmetics changes ambazo ndio hizi za kufungua mahakama ya ufisadi)!


Ufisadi ulivyofasiliwa na Wikipedia:
Kleptocracy, alternatively cleptocracy or kleptarchy, (from Greek: κλέπτης - kleptēs, "thief"[SUP][1][/SUP] and κράτος - kratos, "power, rule",[SUP][2][/SUP] hence "rule by thieves") is a term applied to a government seen as having a particularly severe and systemic problem with officials or a ruling class (collectively, kleptocrats) taking advantage of corruption to extend their personal wealth and political power. Typically this system involves the embezzlement of state funds at the expense of the wider population, sometimes without even the pretense of honest service.
https://en.wikipedia.org/wiki/Kleptocracy
 
Hii ahadi ya Mh. Rais inatakiwa itekelezwe kwa weledi tu na siyo kitu cha ajabu.
Ufisadi ni jinai kama jinai nyingine zinazoshughulikiwa katika mahakama za kawaida. Tatizo la kutoshughulikia ufisadi linatokana na kukosa utashi wa kisiasa kwa sababu wanasiasa ni mafisadi au mafisadi ni washirika wao.
Kama Rais anataka kuwashughulikia mafisadi, aweke taratibu za kuwaondoa mafisadi kwenye siasa, asafishe Takukuru na DPP, halafu mahakama ifuate. Lini mahakama zilizopo zilishindwa kuwashughulikia mafisadi?

Nafikiri hili wazo ni zuri. Akiwaondoa kwenye mfumo atakuwa amefanikiwa kwa kiasi kikubwa na hata mahakama hatakuwa na kazi ngumu.
 
Back
Top Bottom