Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,711
- 1,914
Mkuu mbona una imba na kucheza ngoma za CCM, wewe sio mtu wa Lumumba kwa NAPE????Hii ndio kauli mbiu ya CHADEMA. kweli chadema mna mungu!
Mlitaka kuingia ikulu kwa kauli mbiu hiyo lakini watanzania wapenda amani tuliwashtukia.
Msitake kuingia ikulu kwa kutugawa kidini hamtafanikiwa.