Mchakamchaka ya CUF chali, yageuka chama cha press conference

Mchakamchaka ya CUF chali, yageuka chama cha press conference

Akili yangu inaweza kuwa ndogo ila yako inaweza kuwa ndogo zaidi.

Mfano, kama una akili kubwa; Inawezekanaje wewe kujifananisha na nguruwe?

jibu hoja nilizoibua kama huwezi kaa kimya.hiyo picha haina uhusiano wowote na hoja zangu.
 
View attachment RITZ 1.pdfView attachment RITZ.pdf
Ni jambo ambalo wabashiri wa mambo na wafuatiliaji wa siasa za upinzani hapa Tanzania tulilibashiri mapemaaa.
Hili si jingine bali ni kudorora na baadae kufa kifo cha asili kwa kile kilichoitwa na CUF kuwa oparesheni mchakachaka hadi 2015 ikiwa na kauli mbiu ya dira ya mabadiliko yaani vision for change(V4C).

Oparesheni hii iliyoanzishwa kimamluki na bila utafiti wala dira inayoeleweka ililenga hasa kuiga(imitation) na pia kudhoofisha kile kinachoitwa movement for change(M4C) iliyoasisiwa kwa ustadi mkubwa na CHADEMA na kupata mwitikio chanya kutoka kwa wananchi.

Kuonyesha namna ambavyo ilikosa dira, oparesheni hii ilianzia huko Arusha (ngome ya CHADEMA) ambako pamoja na kukosa msisimko wowote wa maana CUF walifanya maigizo ya kuwapokea waliowaita vigogo wa CHADEMA na baada ya hapo mikutano na oparesheni zile zilififia(kama tulivyobashiri) na sasa sioni kama ntakuwa sijatenda haki kama nikisema wazi kuwa movement ile ya kimamluki imekufa kifo cha asili (natural death) cha kujifunza hapa ni kimoja tuu kuwa watanzania wamechoka maigizo ya CCM na vibaraka wao. Wanataka kuona mtu au chama kinachoonyesha mwelekeo wa kuwakomboa kwelikweli na sio kuwapotezea muda.


View attachment RITZ 1.pdfView attachment RITZ.pdf
 
huyu bocho ni mwigulu mpuuzeni....
hapana mkuu si mwigulu, ukiona comment zina ashiria haira kali, uchungu na some sort of udini ndani yake then jua tu hawa ni walewale wenye chama chao kisiwa cha karafuu
 
huyu
bocho ni mwigulu mpuuzeni....
hapana mkuu si mwigulu, ukiona comment zina ashiria hasira kali, uchungu
na some sort of udini ndani yake then jua tu hawa ni walewale wenye
chama chao kisiwa cha karafuu
 
Shida moja mnadhaniaga wote wanaochangia humu wapo Dar, hiyo mikoa unayoisema ni ipi mkuu? Mi nazurula kweli, hata sasa nipo mkoani but sioni hicho unachosema eti mtandao wa CUF, kiufupi hata zile sehemu mlizokua na ngome imara kwasasa kuna nyufa nyingi sana, mfano chukulia tu uchaguzi wa Igunga na kule Zanzibar, si unakumbuka hata yule jama mwenye jicho chongo alionesha kua CUF ndio chama cha kidini na kikanda!

Tatizo lako mikoani si unapita kwenye vituo vya mabasi? Siasa haifanywi vituoni!

Jamaa mwenye jicho chongo?! Afadhali CUF wao wanasemewa, CHADEMA mnasema wenyewe mna Mungu.

Mungu gani wakati serikali mnayotarajia kuunda inatakiwa kuwa secular?
 
jibu hoja nilizoibua kama huwezi kaa kimya.hiyo picha haina uhusiano wowote na hoja zangu.

Husomi posts zangu nini? Hoja zote zomeshajibiwa na ziada umeshapewa.

Hapo nilikuwa nakujibu pale uliponiambia nina akili ndogo.
Swali nililokuuliza ni kwamba wewe mwenye akili kubwa iweje ujifananishe na nguruwe?

Picha haina uhusiano na hoja zako lakini ina uhusiano na mtoa hoja. Ina maana ufikiri wako, uono wako na likelihood yako ina kuwa better presented na huyo jamaa hapo kwenye avatar yako.

In short ingekuwa umeweka picha ya mtu fulani maarufu, inechukuliwa kama ndiye role model wako. Sasa sijui kwa kuweka hiyo ya huyo mnyama inwakilisha nini.

Any ways, akili ni nywele.
 
Cuf kama kinataka kuendelea kuwa chama cha upinzani imara sharti kijitenge na ccm, kwa hali ilivyo sasa kuwa mshirika wa ccm ni sawa na kulala na maiti kitanda kimoja. R.I.P CUF ya Maalim,Lipumba na mtatiro.
 
Hata huko CDM sijaona walicho fanya ktk kumkomboa MTZ zaidi ya maandamano

ndio hayo yanawahamasishs wana mtwara kudai gesi yao issibiwe na kupelekwa china.huo ni mchango mkubwa sana.
 
Anae sema CUF imekufa huyo atakua na hitlafu kwenye akilizake. Kwanza anatakiwa atambue kua mpinzani wa kweli ni CUF wengine ni vishuruala tu. Angalia historia ya CUF na misuko suko iliyo ipata kama mpinzani angalia vifungo walio pitia viongozi wake akina Maali Seiph, Juma Hadj Duni wote washapinda ubavu mmoja kwasababu ya harakati zao za kuitetea HAKI ona Profesor alivyo chezea kipigo pale keko yote ni harati za kweli. Sasa kiongozi gani ndani ya CDM aliye pata misuko suko japo kupigwa kofi tu. Hapo utagu ndua kua CDM ni chombo kilicho undwa kunyamazisha upinzani, ni isia zilizo anzia kanisani na kupokewa na waumini wake kama mkombozi wao.

Mpinzani wa kweli ni CUF? Are you serious!
 
Husomi posts zangu nini? Hoja zote zomeshajibiwa na ziada umeshapewa.

Hapo nilikuwa nakujibu pale uliponiambia nina akili ndogo.
Swali nililokuuliza ni kwamba wewe mwenye akili kubwa iweje ujifananishe na nguruwe?

Picha haina uhusiano na hoja zako lakini ina uhusiano na mtoa hoja. Ina maana ufikiri wako, uono wako na likelihood yako ina kuwa better presented na huyo jamaa hapo kwenye avatar yako.

In short ingekuwa umeweka picha ya mtu fulani maarufu, inechukuliwa kama ndiye role model wako. Sasa sijui kwa kuweka hiyo ya huyo mnyama inwakilisha nini.

Any ways, akili ni nywele.

stop beiong cynical wewe mtoto.huyo ni kiumbe wa mungu kama viumbe wengine.
 
stop beiong cynical wewe mtoto.huyo ni kiumbe wa mungu kama viumbe wengine.

Ndio maana mimi namtendea haki kwa kusema unafanana naye. Sasa tatizo liko wapi?

Yeye ni kiumbe kama wewe na mnafanana kimawazo. Nigongee like kwenye hii message.
 
Hii ndio kauli mbiu ya CHADEMA. kweli chadema mna mungu!

Mlitaka kuingia ikulu kwa kauli mbiu hiyo lakini watanzania wapenda amani tuliwashtukia.

Msitake kuingia ikulu kwa kutugawa kidini hamtafanikiwa.

Kwahiyo kuwa na Mungu ni uasi mkuu? Au ulitaka tuwe na shetani kama nyie MACUF na MACCM?
 
Acha kutapika mashudu hapa.
Jibu hoja mchakamchaka wa CUF hata Pemba haupo tena, vipi kuna tatizo gani?

Je tatizo la CUF ni ile ndoa na CCM?

Lumumba wanaweza kuwa wamegoma kutoa mkwanja?

Wamegundua kwamba KUFA party hawana mvuto wowote wa kuweza kutumika kwa malengo waliyoyakusudia, sasa wameamu Mkwanja wauhamishie kwa wasaliti akina Mwampamba na akina Ludovick.
 
Kwahiyo kuwa na Mungu ni uasi mkuu? Au ulitaka tuwe na shetani kama nyie MACUF na MACCM?

Kuwa na mungu sio uasi ila kwa chama cha siasa hakipaswi kuwa na dini kama ambavyo CHADEMA inatwambia kwa hiyo kauli mbiu yenu. Kwani mna mungu yupi nyie?

Nitakutajia baadhi ya miungu wachache wanaoabudiwa ambao wote hawafanani; Vishnu, Yesu, Allah, Jehova, Ng'ombe to mention a few.

CHADEMA mungu wenu ni yupi katika hao?
 
Nakumbuka mikutano yao ya Arusha walisomba watu toka Pemba,Dar,Morogoro na Tanga h ha ha ha nilijua wasingefika mbali.
 
V4C ni moja ya mbinu za kuwazingua wananchi tu kama vile ilivyo bendera ya ADC (Sawa na Bendera ya CDM) na sasa naona wanamtumia dogo Jerry Silaa (Jina linashabihiana) kuzunguka kwenye mikutano yao.

Unajua watz kama tungekuwa tunajitambua kwa kweli CCM wanatufanya sisi wajinga 100%. Wanadha wakiweka vitu flan simila basi kuna watu hata kumi wanaweza kuingia mkenge...
Halafu hivi vitu vya kukopi na kupesti hividumu. Ni kama bidhaa za China, unanunua leo kesho mchezo umeisha!
 
Ndio maana mimi namtendea haki kwa kusema unafanana naye. Sasa tatizo liko wapi?

Yeye ni kiumbe kama wewe na mnafanana kimawazo. Nigongee like kwenye hii message.

kwakuwa na wewe ni kiumbe wa mungu pia unafanana nae.
 
kwakuwa na wewe ni kiumbe wa mungu pia unafanana nae.

Nimecheka sana!!!!!! Sasa kwani kuna aliyekulazimisha kujifananisha na nguruwe, si uliamua mwenyewe kwa mapenzi yako?

Hasira za nini sasa? Nitakutajia avatar yangu ya kibinadamu siku nyingine ile kwa leo kubali tu yaishe kuwa role model wako ndio huyo jamaa hapo kwenye avatar yako. Usinichagulie representative wa hulka yangu, kama hulka yako yako inawakilishwa na nguruwe, ni wewe bro.

Akili ni nwele na kwa hakika za kwangu hazifanani na za kwako ndio maana avatar (representation) yako ni nguruwe.
 
Back
Top Bottom