Chama cha maandamano na wapanga mipango ya ugaidi je mbona hukisemi?
Acha chuki zako na wivu usio na tija. Frustration zako za kushindwa kuua CHADEMA peleka Lumumba.
Chama cha maandamano na wapanga mipango ya ugaidi je mbona hukisemi?
RIP CUF, Rip Mkigoma,Rip Katani...wananchi tuliwapendeni sana ila Mungu amewapendeni zaidi. RIP CUF!
Ngoja uamsho waje kutoa matusi hapa
Ni jambo ambalo wabashiri wa mambo na wafuatiliaji wa siasa za upinzani hapa Tanzania tulilibashiri mapemaaa.
Hili si jingine bali ni kudorora na baadae kufa kifo cha asili kwa kile kilichoitwa na CUF kuwa oparesheni mchakachaka hadi 2015 ikiwa na kauli mbiu ya dira ya mabadiliko yaani vision for change(V4C).
.
Ha haa haaa,wapi Mtatiro,ajibu hoja hizi,maana kama zina ukweli flani hivi!!
Chama cha maandamano na wapanga mipango ya ugaidi je mbona hukisemi?
chadema bana, yaani mnailinganisha chadema na cuf kwa mikakati? This is laughable!
V4c inaendelea mikoani kama kawaida wakati chadema wameshughulishwa na mambo yasiyowajenga kama: Issue ya lwaka na ludo.
chadema ina uhai kwenye mtandao sio kwa wananchi on the ground.
By the way kwanini mnashambulia cuf badala ya ccm?
Unatakiwa ujue kua harakati za kisiasa silazima zifanywe kimtindo huo (v4c) au mchakamchaka. Chama kama chama kimeona kibadili aina hiyo. Ngoja jibu utalipata 2015Mkuu kwetu Sumbawanga, mkoani Rukwa, kwa sasa niko Dar na mara kwa mara nipo hapa Lumumba.
Naithamini sana Tanganyika.
Sasa jibu hoja, mchakamchaka wa CUF nani kauua?
cuf ina majimbo mangapi?mgombea urais alipata aslimia ngapi ya kura?vipi kule igunga mlikoenda na mtaji wa kura 11,000?be realistic abit.
Unatakiwa ujue kua harakati za kisiasa silazima zifanywe kimtindo huo (v4c) au mchakamchaka. Chama kama chama kimeona kibadili aina hiyo. Ngoja jibu utalipata 2015
RIP CUF, Pumzika kwa Aman na Mchakamchaka wako eh
Anae sema CUF imekufa huyo atakua na hitlafu kwenye akilizake. Kwanza anatakiwa atambue kua mpinzani wa kweli ni CUF wengine ni vishuruala tu. Angalia historia ya CUF na misuko suko iliyo ipata kama mpinzani angalia vifungo walio pitia viongozi wake akina Maali Seiph, Juma Hadj Duni wote washapinda ubavu mmoja kwasababu ya harakati zao za kuitetea HAKI ona Profesor alivyo chezea kipigo pale keko yote ni harati za kweli. Sasa kiongozi gani ndani ya CDM aliye pata misuko suko japo kupigwa kofi tu. Hapo utagu ndua kua CDM ni chombo kilicho undwa kunyamazisha upinzani, ni isia zilizo anzia kanisani na kupokewa na waumini wake kama mkombozi wao.
Mkuu jibu hoja,usijadili mtu,baada ya Arusha huo mchakamchaka ulielekea upande gani?..mlifanya utafiti kidogo kabla ya kuanza?..umeleta impact gani hadi hivi sasa?..maana walau Maandamano ya M4C kwa sisi(wananchi) tumeona impact kidogo mf:Kura za Ubunge Igunga kuongezeka toka 0 to 12,000,kushinda kwa Ubunge Arumeru Mashariki,(haya ni kwa uchache)Mtatiro sio DR W Slaa ajibishane na mtu ambaye hata asiyeweza kujenga hoja.
Hoja ilishajifia siku nyingi; CHADEMA ndio wanaaongoza kwa kuwa na press conference kila wiki na maandamano at least kwa mwezi mara moja.
V4C inaendelea labda ungeomba tu upewe ratiba ili ukahudhurie mikutano.
sasa wewe unataka kunichosha. Kumbe ulikuwa unataka uijue cuf vizuri?
Hoja yako ilikuwa sio kufikia conclusion wakati hujuwi cuf ina majimbo mangapi! Too low for you!
Kwani yale matokeo ya urais chadema wanayatambua?
Unataka kutumia uchaguzi wa igunga kama kigezo vipi unakubali kwamba tume ya uchaguzi iko huru?
Pole sana kwa kutofahamu matusi yapoje, CUF ngangari? umenielewa sawa sawa? imeshakufa...Huyu ni mfano tu wa aina ya vijana wa CHADEMA. hawana uwezo wa kujenga hoja zaidi ya matusi.
CHADEMA kwanza baada ya uchaguzi wa 2015 ndio mwisho wenu maana mtarudisha yale majimbo mliyoazimwa na CCM.
CHADEMA bana, yaani mnailinganisha CHADEMA na CUF kwa mikakati? This is laughable!
V4C inaendelea mikoani kama kawaida wakati CHADEMA wameshughulishwa na mambo yasiyowajenga kama: Issue ya Lwaka na Ludo.
CHADEMA ina uhai kwenye mtandao sio kwa wananchi on the ground.
By the way kwanini mnashambulia CUF badala ya CCM?
Mkuu labda hujaelewa haijashambuliwa CUF bali mtao mada kaauliza swali V4C imekwamia wapi????CHADEMA bana, yaani mnailinganisha CHADEMA na CUF kwa mikakati? This is laughable!
V4C inaendelea mikoani kama kawaida wakati CHADEMA wameshughulishwa na mambo yasiyowajenga kama: Issue ya Lwaka na Ludo.
CHADEMA ina uhai kwenye mtandao sio kwa wananchi on the ground.
By the way kwanini mnashambulia CUF badala ya CCM?