Mchaga na pesa(ubahili)

Mchaga na pesa(ubahili)

Leornado

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
1,529
Reaction score
199
Mchaga mmoja alidondoka kwenye kisima cha maji akapiga kelele huku anatapatapa mkewe akaja na kamba mpya akamrushia; mume akauliza umenunua sh.ngapi? Mke akamjibu, buku; akamwambia, irudishe nenda kwa Masawe anauza jero fanya fasta ntazama.

Mchaga pesa kwanza , uhai baadae.
 
Haaah haaah haaa. Inafurahisha.
 
Ama kweli mchaga noma...pesa mbele uhai badae!
 
teh teh teh, nimecheka mpkaka machozi yamenitoka!
 
Hii kuna mtu kaipost facebook anyway kama mchagga sidhani kama sisi ni bahili kwa kiwango hiki
:bange:
 
aaaiiihahahaaa,.,heee,.!!! kiwale,umeskia hiyo?
 
Wachaga sio wabahili ILA WANAHESHIMU PESA NDO MAANA INAWAPENDA.
 
Umenikumbusha mchaga mmoja aliokoka na alipoenda kanisani ilibidi mchungaji akambatize,ubatizo wa maji mengi.Mchungaji akasema Nambatiza Massawe pamoja na vitu vyote alivyonavyo ndani ya Maji ni Vyako Mungu Baba,jamaa kusikia hivyo,ikambidi achomoe pesa mfukoni na kunyoosha mkono juu ya maji.Aliamini kua maombi ya mchungaji yameepisha zile hela kwazi hazikua ch ndani ya maji
 
Huyu mchaga atakuwa ndo yule aliye mnyoa mbwa wake kama simba akihofu wezi dukani
 
Du! Wanasemwa sana wachaga, lakini huyo bwana ana sifa ya kudhibiti matumizi mabaya kama wapare, sio wachaga. Leo ndio nasikia mchaga ni bahili, nilisikia siku zote kwamba wapare ndio. Alisema Lyatonga kwamba mpare anauza ng'ombe ili apate hela ya kuhonga hakimu ashinde kesi ya kuibiwa kuku. Mchaga ni mkusanya hela ndio maana wamejaa TRA na hazina na huko kwenye mabenki.
 
You make me fun!! Teh teh teh!
 
Back
Top Bottom