Kessy Hamisi
Member
- Jun 25, 2012
- 24
- 8
Jamaa baada ya kugundulika kuwa ni yeye aliyempa mimba mtoto aliamua kwenda kujisalimisha kwa wazazi wa mwanamke
JAMAA:Shikamoo baba,mimi ndiye niliyempa mimba binti yako lakini siwezi kumuoa ila kama akizaa mtoto wa kiume nitakupa Milioni 50,kama akizaa mtoto wa kike nitakupa Milioni 20 lakini mzee je kwa bahati mbaya mimba ikiharibika tufanyaje?
MCHAGAaah! haina jinsi baba'angu itabidi uumpe mimba nyingine.
JAMAA:Shikamoo baba,mimi ndiye niliyempa mimba binti yako lakini siwezi kumuoa ila kama akizaa mtoto wa kiume nitakupa Milioni 50,kama akizaa mtoto wa kike nitakupa Milioni 20 lakini mzee je kwa bahati mbaya mimba ikiharibika tufanyaje?
MCHAGAaah! haina jinsi baba'angu itabidi uumpe mimba nyingine.