Katika safari kulikuwa na MZUNGU, MCHINA ,MMASAI & MCHAGA, ...
Wakiwa katikati ya safari meli ikaanza dhoruba na kuelekea kutaka kuzama, ikalazimika kila mtu atupe baharini mizigo aliyobeba,
akaanza MZUNGU akatupa computer hukuakisema "TUTATENGENEZA ZINGINE ULAYA".
Akafuatia MCHINA akatupa mabox ya simu huku akisema "ZIPO NYINGI CHINA" akafuatia MMASAI akatupa ng'ombe huku akisema "ZITAZALIANA ZINGINE" akafuatia MCHAGA ,kila kitu alichobeba anakiona kinathamani, akaamua kumtupa mmasai huku akisema "WAPO WENGI KULE KWETU MONDULI!"
Wakiwa katikati ya safari meli ikaanza dhoruba na kuelekea kutaka kuzama, ikalazimika kila mtu atupe baharini mizigo aliyobeba,
akaanza MZUNGU akatupa computer hukuakisema "TUTATENGENEZA ZINGINE ULAYA".
Akafuatia MCHINA akatupa mabox ya simu huku akisema "ZIPO NYINGI CHINA" akafuatia MMASAI akatupa ng'ombe huku akisema "ZITAZALIANA ZINGINE" akafuatia MCHAGA ,kila kitu alichobeba anakiona kinathamani, akaamua kumtupa mmasai huku akisema "WAPO WENGI KULE KWETU MONDULI!"