Mchaga atoa kali

Mchaga atoa kali

Youngdsm

Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
18
Reaction score
1
Katika safari kulikuwa na MZUNGU, MCHINA ,MMASAI & MCHAGA, ...
Wakiwa katikati ya safari meli ikaanza dhoruba na kuelekea kutaka kuzama, ikalazimika kila mtu atupe baharini mizigo aliyobeba,
akaanza MZUNGU akatupa computer hukuakisema "TUTATENGENEZA ZINGINE ULAYA".
Akafuatia MCHINA akatupa mabox ya simu huku akisema "ZIPO NYINGI CHINA" akafuatia MMASAI akatupa ng'ombe huku akisema "ZITAZALIANA ZINGINE" akafuatia MCHAGA ,kila kitu alichobeba anakiona kinathamani, akaamua kumtupa mmasai huku akisema "WAPO WENGI KULE KWETU MONDULI!"
 
Aisee babaangu una utani na akina Ole mollel!!?
 
We mpare nn?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
hii ishatolewa humu janvini zaidi ya mara mbili, tena kipindi kifupi tu kilichopita.

Mytake: lets ol of us try to be innovative, tusitoe tulichohadithiwa mtaani coz wengi wanavipata humu humu janvini
 
hii ishatolewa humu janvini zaidi ya mara mbili, tena kipindi kifupi tu kilichopita.

Mytake: lets ol of us try to be innovative, tusitoe tulichohadithiwa mtaani coz wengi wanavipata humu humu janvini

Ndugu yangu, kumbuka kuna new members, kwao ni kitu kigeni.
 
Back
Top Bottom