Mch. Msigwa akabidhi misaada kituo cha islamic center!!

Mch. Msigwa akabidhi misaada kituo cha islamic center!!

Unafiki tu.

Wanaotoa vitu kwa nia safi hawawez kujitangaza.

Kama wewe unatoa kwa kutarajia malipo kwa mungu wako unatangaza akuone nani??

Hiyo haiwez futa kwamba chadema ni cjama cha kikanda kidini na kikabila.

Chuki zenu dhidi ya waislam nyinyi wakristo zinafahamika.

Tafuteni wa kumuongopea.
 
Chadema cha kanisa.

Kinahaha sasa kutafuta kura za waislamu.

Wanakumbuka shuka huku kumekucha.

Teh teh teh
 
Duh, Azam ni noma.....

Hivi unaweza pitisha siku bila kula ama kunywa bidhaa inayoandaliwa na azam?? Sijui kwa vijijini lakini kwa humu mjini....

Maana asubuhi kama sio mandazi basi chapati, ama sambusa, shushia chai ya maziwa nae yumo, mchana kunywa juice ama maji namo humo yumo.

SAFI SANA
 
Hiyo misaada ya sukari unga biscuit haifanyi miradi hiyo kuwa sustainable.Watakula vitaishia chooni
Ukijenga madarasa wananchi wenye njaa hawatakaa wakukumbuke. Unadhani kwa nini CCM wanagawa pilau na sio madawati, madarasa, madaftari na kalamu huko vijijini?
 
Nyinyi hiko si ni chama cha kanisa??

Mnawataja waislam waje kufanya nini.

Kwani wakristo pekeyao hawatoshi kuwapeleka ikulu??

Endeleeni na chama chenu cha kiparoko.

Haya ndio mawazo ya Vijana wa karne hii wa Kitanzania. Chadema itaendelea kuwaunganisha watanzania wote pasi na imani zao za kidini na mikoa na kanda wanazotoka. Chadema imekuwa kiungo muhimu cha watanzania wote na itazidi kuwa kiungo kwa kila mtanzania. Sera za chadema zimejengwa kwenye misingi ya UTU, UMOJA, MSHIKAMANO na MAENDELEO. Wajinga wenye mawazo kama haya hamuwezi kukosekana kwenye jamii. Kama mnajibagua wenyewe kwa wenyewe mtaacha kubagua wengine. Sisi Chadema tunasema yeyote mwenye moyo wa kuiunganisha Tanzania kuwa moja kwa maendeleo ya Watanzania wote tunamkaribisha kwa mikono miwili.
Watakaodhani kuwa chadema ni nafasi yao ya kuvimbisha vitambi, kukejeli na kusaliti juhudi za watanzania, kufifisha umoja, uzandiki, unafiq, udini, ukabila ukanda na umajinuni mwingine wote, Chadema haitasita kuwatimulia mbali. Tumetimua na tutaendelea kutimua mbwa yeyote atakayetaka kutuvuruga.
 
Unafiki tu.

Wanaotoa vitu kwa nia safi hawawez kujitangaza.

Kama wewe unatoa kwa kutarajia malipo kwa mungu wako unatangaza akuone nani??

Hiyo haiwez futa kwamba chadema ni cjama cha kikanda kidini na kikabila.

Chuki zenu dhidi ya waislam nyinyi wakristo zinafahamika.

Tafuteni wa kumuongopea.

Mkuu frustration zitakuua. Mwone mwana saikolojia haraka
 
Yaani wewe bibi kizee kila mume unaemuona unampapatikia tuh??

Nishakuambia kwamba huwez pata bwana wa kukufaa na hii tabia yako ya kujikojolea hovyo hovyo.

We kutwa unanuka mikojo tuh nani akuweke ndani??

Baamedi kama wewe utapigwa na wanywa gongo wenzako.

Si naskia yule padre wenu mzinz mnapanga eti akichukua nchi muuze gongo??

Nchi awape nani nyinyi vikojozi??

Kwa hii mitusi, UISLAM ni dini ya kuigwa. Asante kwa kuuanika ustaarabu wa kiislam
 
pamoja sana kamanda Msigwa kwa utendaji wako uliotukuka, umeonyesha njia mbunge wetu, umependeza sana kamanda.

magamba igeni mfano huu wa kamanda Msigwa. kamanda wewe ni kielelezo na kioo cha jamii ya wana-Iringa wa dini na kabila zote. iam proud of you our brave commander. viva CDM, viva M4C, viva UKAWA!
 
Sio jukumu langu kujua kuna Muislam au hakuna muislam kwenye hiyo picha. Ninachojua ni kuwa Mchungaji Msigwa ameonyesha kwa vitendo dhana ya upendo kwa watu wote inayohubiriwa na CHADEMA kila siku. Suala la kipimo cha nani muislam sana, nani muislam nusu, nani ni muislam-kafiri hiyo tunawaachia nyie mliona mawazo ya kidini ya kipumba.vu

very good reply!
 
barubaru u hali gani sheikh wangu? Hakika nilizimisi bayana zako mujarabu bila kuweka ufedhuli kama wa yule mhuni kahtaan.

Sasa leo sheikh wangu umeniangusha! Hii sio busara yako tuliyoizoea alhabiib barubaru. Focus ya chadema ni kuwaunganisha watanzania wote pasi na tofauti ya dini detu. Chadema imekuwa ikifanya hivi na itaendelea kufanya hivi siku zote. Alhaji barubaru karibu chadema uwe part ya mshikamano wa watanzania. Karibu u join timu ya wapenda umoja na amani, chadema.
Ahsanta
chadema kwa waislamu ni sawa na nyama ya nguruwe
 
Mnafiki mkubwa huyo. Kama yeye kweli alidhamiria kutoa kufutarisha basi ndanimwe angewaalika hata CCM pia wawepo kwanini hao viongozi tu wa Bakwata na hiyo taasisi.

Kwa wanaujua alitaka tu kujipatia umaarufu tu hapo hakuna lolote. ndio maana akatoa msaada mdogo lakin mapicha kila kona apeleke kwa wafadhwili wake akapate mshiko zaidi.

Ushindwe mchungaji msigwa na unafiki wako.


wewe pepo mkubwa, ushindwe kwa jina la Yesu! Kamanda Msigwa anahudhuria wapigakura wake wewe kinakuwasha nini? mbona unaweweseka kama vile umetomaswa m@k@|io?
 
2015 inawadia tutayaona mengi.

Huyo anajitengenezea njia ya 2015.

Mbona kabla hajawa mbunge hatujasikia wala kuona akifanya hayo?

Hapo sasa!

wewe mbona sio mbunge lakini hatujasikia wala kuona ukitoa misaada kwa wahitaji?
 
Hiyo misaada ya sukari unga biscuit haifanyi miradi hiyo kuwa sustainable.Watakula vitaishia chooni

na kikwete anapotoa mbuzi na mchele kwa watoto yatima wakati wa krismass na idd huifanya miradi kuwa SUSTAINABLE? acha kufikiri kwa kutumia m@k@|i0 mkuu.
 
na kikwete anapotoa mbuzi na mchele kwa watoto yatima wakati wa krismass na idd huifanya miradi kuwa SUSTAINABLE? acha kufikiri kwa kutumia m@k@|i0 mkuu.

Wapi nilipomsifu kikwete kwa misaada kama hiyo ya chakula cha one time?
 
Back
Top Bottom