tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 26,029
- 25,433
Unafiki tu.
Wanaotoa vitu kwa nia safi hawawez kujitangaza.
Kama wewe unatoa kwa kutarajia malipo kwa mungu wako unatangaza akuone nani??
Hiyo haiwez futa kwamba chadema ni cjama cha kikanda kidini na kikabila.
Chuki zenu dhidi ya waislam nyinyi wakristo zinafahamika.
Tafuteni wa kumuongopea.
kikwete anapotoa mbuzi na mchele kwa watoto yatima kwa kujitangaza kumbe anakuwa hana nia safi? kumbe maccm mnapotoa vitu kwa kujitangaza mnakuwa na nia ovu ya kutafuta huruma kwa watanzania? wakengeufu, keleb na maibilis wakubwa na migamba yenu!!