Ngoja buku 7 waje.wao walitumwa kazi 2 tu,kutukana mambo mazuri na kutetea mafisadi
anajikomba tuu huyo anachuki na waislam no moja.![]()
![]()
ukiachia mbali kwamba msigwa ni mchungaji, lakini pia ni mbunge wa wote. Hapa kamanda msigwa akitoa futari kwa waumini wa dini ya kiislamu walio katika mfungo wa ramadhan.
anajikomba tuu huyo anachuki na waislam no moja.
Nakala THE BIG SHOW ha ha ha ha ha ha ha najua utasema hii ni photoshop ha ha ha ha.
Waislam tunatumika kisiasa
msigwa malizia posho zako 2015 hutazionahongera jemedari msigwa....
Waislam tunatumika kisiasa
2015 inawadia tutayaona mengi.
Huyo anajitengenezea njia ya 2015.
Mbona kabla hajawa mbunge hatujasikia wala kuona akifanya hayo?
Hapo sasa!
Kwa hiyo msigwa haruhusiwi kusaidia wenye shida?, au kawatunze wewe basi hao watoto
Mnafiki mkubwa huyo. Kama yeye kweli alidhamiria kutoa kufutarisha basi ndanimwe angewaalika hata CCM pia wawepo kwanini hao viongozi tu wa Bakwata na hiyo taasisi.
Kwa wanaujua alitaka tu kujipatia umaarufu tu hapo hakuna lolote. ndio maana akatoa msaada mdogo lakin mapicha kila kona apeleke kwa wafadhwili wake akapate mshiko zaidi.
Ushindwe mchungaji msigwa na unafiki wako.
Huyo Jakaya Kikwete tu ameshindwa kukupa mradi sustainable licha ya kuzunguka dunia nzima. Sembuse Msigwa? Ukiwa na akili za chooni utawaza kichooni chooni tu. Sasa ulivyo pimbi hujui kuwa Msigwa ameonyesha kwa vitendo dhana ya upendo kwa watu wote?Hiyo misaada ya sukari unga biscuit haifanyi miradi hiyo kuwa sustainable.Watakula vitaishia chooni