Mch. Mhe. Dr. Getrude Lwakatare achunguzwe!

yale yale ya akina Kimbwotere........DR Mchungaji Mbunge Mrs Lwakatare

.......nina ombi moja tupitie biblia kikamilifu ili twende kwenye mstari ulionyooka bila hivyo siku 7-8 zijazo itakuwa hatari hapa......

GREAT IDEAS, NA ISIISHIE KWA MAMA LWAKATARE TU.. WAKO WENGI TWENDE KATOLIKI( SIO NORTH AMERICA--(maana wengi wanabaka watoto)..),WASABATO( SIO MASALIA....), ....MASHAHIDI WA YEHOVA....ANGLICAN(SIO WALE WA MASHOGA)..

KWA KIFUPI HAKUNA ANDIKO LOLOTE KWENYE BIBLIA LINALOHUSISHA SWALA LA WAFU KUWA WANAZUNGUMZA AU WANARUDISHWA...HAMNA....HAMNA....

HAKUNA MISUKULE WALA WATU WAFANANAO NA HAO KWENYE BIBLIA...

HAYO MAFUNDISHO YA MAMA LWAKATARE HAYANA UTHIBITISHO WA KIBIBLIA.....


Mnaosema ni Kazi ya Mungu, mmeshandanywa sana kuna ''God is not the author of confusion' but of peace'' 1 st Corinthians 14:33

Waberoya
 
Ubishi mwingine hata hauna maana; Nani amekuambia siamini miujiza? Hujui imani yangu so usianze kunizungumzia kile ninachoamini kama vile mimi sitozungumzia kile unachoamini.

Hii ni habari ya Mchungaji mwingine mashuhuri ambaye sehemu yake ya kukaa ni jela kwani wanalidhalilisha na kulitukanisha jina la Bwana. Na maandiko yanasema wazi kuwa "siyo wote waniitao Bwana Bwana", na kama unajua Biblia yako utakumbuka kuwa hata waganga waliweza kufanya miujiza mbele ya Pharao, na katika Agano Jipya kuna jamaa mmoja alikuwa anawafuata kina Paulo akisema maneno mazuri ya Mungu lakini Paulo akagundua ni Pepo; so don't tell me what I believe or not believe!

The Gilbert Deya Ministries claim that Deya's powers allow him to be able to cause infertile women to become pregnant. Mr Deya claims that "through the power of prayer and the Lord Jesus" he has helped sterile women give birth. In the UK, one woman is claimed to have had three children in less than a year. Deya admits the women travel to Kenya, in order to "give birth".

Deya's wife, Eddah, was arrested during November 2004 in Nairobi and charged with stealing children. Ten children, none of whom had any genetic connection to the Deya family, were found at Mr Deya's House. Twenty babies have been placed in foster care in Kenya after DNA tests showed they had no connection to their alleged mothers.

Deya has a warrant out for his arrest in Kenya for the trafficking of babies out of the country. The Kenyan police have alleged that the ministry is a baby-snatching ring, and they have petitioned for his extradition from the UK. Mr Deya is currently seeking political asylum from his base in Glasgow. According to a BBC report on 16 June 2006, he has now been arrested by police at Edinburgh Sheriff Court.

In November 2004 the High Court in the UK ruled that a 'miracle baby' in London was the victim of child trafficking, and that the supposed miracle displayed was a ruse in order to generate funds from a "deceived congregation". Mr Justice Ryder ruled that in order to maintain the illusion of a genuine birth, the child's 'mother' was seriously assaulted "and a live child who had been born to another family was presented to her as her child." He also ruled that "[the baby's] birth as described was a falsehood not a miracle."

On 13th December 2006, Mr Deya was arrested in London by the Metropolitan Police. A police spokesman said Gilbert Deya was detained under an arrest warrant issued by Kenyan authorities, who had charged him with child trafficking. He was ordered by a court on 8th November 2007, to be extradited from the UK to Kenya to face five counts of child stealing.
 
Katika hiyo miujiza ambayo wakatoliki huwa wanachunguza na kutangaza ni ipi? sijawahi kusikia miujiza katoliki , kama una mifano toa mkuu!??

Waberoya
Ipo mingi mkuu kwa wakatoliki wana kitu wanaita WATAKATIFU mfano Mtakafu Petro,Yuda Thadei etal....sasa huwa wana utaratibu wa kuwatangaza watakatifu kwa kusali sala kutumia jina la mhusika.Mfano wako kwenye mchakato wa kumtakatifuza Papa yohane paulo wa pili.

Inapigwa sala ikisikilizwa basi anatakatifuzwa na kuwa mtakatifu......

Miujiza ipo mingi pia Kuna watu waliotokewa na Mama Bikira maria(mama mzazi wa Yesu Kristo) hawa huwa wanapewa miujiza...mfano kuna binti mmoja miaka ya zamani MwanzaNyakahoja kama sijakosea) alitokewa na Bikira Maria akapewa upako sijui aliishia wapi.

Pia Bukoba napo nakumbuka zamani alikuwepo Mama mmoja wa kihindi anaitwa Mama Diaz alitokewa na Bikira Maria alikuwa anaponya wagonjwa nae sina habari zake tena walioko Bukoba watuambia alikuwa anakaa nyuma ya Kituo kikuu cha Polisi [central]
 
...mfano kuna binti mmoja miaka ya zamani MwanzaNyakahoja kama sijakosea) alitokewa na Bikira Maria akapewa upako sijui aliishia wapi.
[central]

Ilianzia Nyakahoja akawa ameanzisha shrine pale Parokia ya Kirumba; unauliza iliishaje; well ndio maana kuna vitu vinaitwa uchunguzi. I know that case very well, nilikuwa Nyakahoja na kina Fr. D'Souza na Fr. Meida.
 
Narudia tena swali langu.Apart from hiyo ishu ya misukule,hakuna miujiza mingine inayotokea katika kanisa la huyo mama?
 
Hiyo mingine yawezekana kuwa ipo; lakini sidhani kama kuna muujiza mkubwa kama wa kudai kuleta watu uzimani na kuwaonesha kwenye picha kuwa waliwahi kuwa wamekufa. Miujiza mingine ya kupona mafua, viwete kutembea n.k ni miujiza ambayo binafsi hainisumbui kwani implication yake siyo kama hiyo ya Misukule.

Wengi tumeshazoea mikutano ambayo "miujiza kufanyika" "viwete kutembea, viziwi kusikia na maskini kuhubiriwa habari njema". All that is fine; lakini unapokuja na kudai kuwa kuna watu wamekufa na wewe unao wakiwa wazima unaenda kinyume kabisa na kanuni za asili za ulimwengu na maneno ya Biblia kuwa "baada ya kufa hukumu" na siyo kwenda kulima mashamba ya watu!
 
Mwanakijiji,

Mimi naamini kwa YESU YOTE yanawezekana!

Isimuhukumu huyu mama. Ina maana waumini wote hapo kanisani hawayaoni hayo yote?

FP

acha hizo wewe kwani wale waumini wa kibwetere wote hawakujua kuwa kibwetere ni msanii.mpaka ikafikia mahala akawatia kiberiti wote.tatizo kubwa la waumini wengi wa lwakatare ni umasikini wa elimu na vilevile waumini wake wengi ni waathika wa ukimwi,ina maana ni watu waliokata tamaa kabisa na maisha kwa hiyo lwakatare anawageuza anavyotaka.mimi siwezi kukubaliana na upuuzi wake.na nasema hivi HUU NI UTAPELI WA HALI YA JUU
 
Hiyo mingine yawezekana kuwa ipo; lakini sidhani kama kuna muujiza mkubwa kama wa kudai kuleta watu uzimani na kuwaonesha kwenye picha kuwa waliwahi kuwa wamekufa. Miujiza mingine ya kupona mafua, viwete kutembea n.k ni miujiza ambayo binafsi hainisumbui kwani implication yake siyo kama hiyo ya Misukule.

Wengi tumeshazoea mikutano ambayo "miujiza kufanyika" "viwete kutembea, viziwi kusikia na maskini kuhubiriwa habari njema". All that is fine; lakini unapokuja na kudai kuwa kuna watu wamekufa na wewe unao wakiwa wazima unaenda kinyume kabisa na kanuni za asili za ulimwengu na maneno ya Biblia kuwa "baada ya kufa hukumu" na siyo kwenda kulima mashamba ya watu!

mimi napinga kwa nguvu zangu zote.kwanza kitu muujiza kwa tanzania hakuna ila kinachofanyika ni mazingaumbwe ndani ya kanisa la huyu mama kama anaweza kufanya miujiza kwanini asimponyeshe kwanza mwanae wa kumzaa ambaye ni teja
 
Hivi hizo habari za misukule zinaenezwa na Lwakatarwe mwenyewe au media?Okay,tunafahamu udhaifu wa journalists wetu ambao wengi hujua kuandika tu wanachosikia au kuona pasipo kwenda mbali zaidi kutafuta background au aftermath.Lakini kwanini tusifanye kwamba hadithi za misukule ni kweli hadi hapo zitakapokuwa proven wrong?

Pengine pazuri pa kuanzia,for you doubters,ni je hakuna miujiza inayotokea katika Kanisa la huyo mama,apart from hiyo ishu ya misukule?

kumbuka huyu mama ni mtu mwenye kipato kikubwa na kwa tanzania hakuna watu wanahongeka kirahisi kama askari polisi na waandishi wa habari, sasa sijui wa kuchunguza ukweli wa haya mambo ni nani wakati mama ni mafia --?!
 
Ipo mingi mkuu kwa wakatoliki wana kitu wanaita WATAKATIFU mfano Mtakafu Petro,Yuda Thadei etal....sasa huwa wana utaratibu wa kuwatangaza watakatifu kwa kusali sala kutumia jina la mhusika.Mfano wako kwenye mchakato wa kumtakatifuza Papa yohane paulo wa pili.

Inapigwa sala ikisikilizwa basi anatakatifuzwa na kuwa mtakatifu......

Miujiza ipo mingi pia Kuna watu waliotokewa na Mama Bikira maria(mama mzazi wa Yesu Kristo) hawa huwa wanapewa miujiza...mfano kuna binti mmoja miaka ya zamani MwanzaNyakahoja kama sijakosea) alitokewa na Bikira Maria akapewa upako sijui aliishia wapi.

Pia Bukoba napo nakumbuka zamani alikuwepo Mama mmoja wa kihindi anaitwa Mama Diaz alitokewa na Bikira Maria alikuwa anaponya wagonjwa nae sina habari zake tena walioko Bukoba watuambia alikuwa anakaa nyuma ya Kituo kikuu cha Polisi [central]

Kwa mujibu wako inaonyesha wakatoliki tu wa zamani ndio walikuwa wanafanya miujiza , humjui mkatoliki yeyote kwa sasa anayefanya miujiza, inspite tha fact that we hanve milions of them now adays.

Ok, nadhani maada ni Lwakatare tuache ya wakatoliki, maana hali ya hewa inaweza kuchafuka humu ndani.

We have been blindly following these denominations, hatujui wala hatufuatiliil history zake, vitu vingine ni sometime hata common sense zetu hazifanyi kazi sawa sawa.

1.Mtu anasema tutumie sanamu ya fulani tunafuata hata hatuulizi mara mbili.

2.Mtu anasema ukifa utaombwa uende peponi , tutakuombea utoke pagatori , tunakubali , we dont ask.

3.Bible tells clearly that we should ask and pray by the name of Jesus, LEO mtu anasema tutumie jina la Maria , with no bibilical evidence, tunakubali

4.Mtu anasema tufungishe au tufunge ndoa ya jinsia moja, tunasema sawa.

5.Watu wanasema twende tukaubiri injili ulaya, bila passport, viza wala nauli, still people say Yes

6.Kuwa tukamsubiri Yesu porini anarusi tarehe 30/4 /2008 WATU wanasema ndiyo..

7.Kuwa kuna watu wanachukiliwa msukule, na kurudishwa still people say Yes...

8.Kuwa Yesu alibatizwa maji mengi, let us by our reasoning with no biblical proof tubatizane kwa maji machache, we say YES.

9.Kuwa fanyeni kazi wee, sisi wachungaji tunataka fungu la KUMI inspite the fact that, hakuna uthibitisho wa kutoa fungu la kumi kwa wakristo wa agano jipya still people say YES.

10.Wengine wanaambiwa dini yao ndiyo ya kweli, na ukijiua unaenda peponi , huko unakutana na wanawake bikra 7, bila kuwaza kuwa vitabu vinigine vyote vya dini tofauti na ya kikristo vilikuja 600 years latar! bado watu wanasema YES!

COMMENT

WACHUNGAJI WAONGO, WALIKUWAPO EVEN BEFORE JESUS WAS BORN refer Balaam! WATAKUWAPO TU.SWALA NI KWA KIASI GANI TUNASOMA BIBLIA NA KUWEZA KUCHAMBUA MAANDIKO SISI WENYEWE NA KUJUA ZIPI PUMBA NA ZIPI MAHINDI THATS IS OUR TASK. Mfano wengi wanamsema mama Lwakatare vibaya still we can not stand for our faiths! Be honest most of us hatuja question kuhusu dini zetu, tunakuwa wakali zinapoguswa hata kama kuna ukweli, kwa sababu ndiko tuliko zaliwa, kulia ,olea n.k

watu wasome biblia, waamue wenyewe based on the fact of bible....no compromise, no meander.


THIS WAS JUST ANA ALERT:

1Corinthians 4:14 :I do not write these things to shame you, but to admonish you as my beloved children.

Waberoya
 
mimi napinga kwa nguvu zangu zote.kwanza kitu muujiza kwa tanzania hakuna ila kinachofanyika ni mazingaumbwe ndani ya kanisa la huyu mama kama anaweza kufanya miujiza kwanini asimponyeshe kwanza mwanae wa kumzaa ambaye ni teja

Wewe sio mkristo na kama mkristo ni wale wakristo Jina, hawasomi, Biblia, hawamjui Mungu wao,hupo hupo tu ili mradi unaitwa Frank, John n.k.

From Biblical poiint of view(kama unamuamini YESU) Miujiza ipo na Yesu alisema itaendelea tu kufanyika.Personally nimeombea wengi na wamepona -permanent healing.Nakueleza kitu ambacho kipo.

Lililopo hapa ni kuhusu Misukule hakuna maandiko hayo kwenye Biblia! thats is a lie.. Tuwe wakweli kwenye ukweli.

Waberoya
 
Hiyo mingine yawezekana kuwa ipo; lakini sidhani kama kuna muujiza mkubwa kama wa kudai kuleta watu uzimani na kuwaonesha kwenye picha kuwa waliwahi kuwa wamekufa. Miujiza mingine ya kupona mafua, viwete kutembea n.k ni miujiza ambayo binafsi hainisumbui kwani implication yake siyo kama hiyo ya Misukule.

Wengi tumeshazoea mikutano ambayo "miujiza kufanyika" "viwete kutembea, viziwi kusikia na maskini kuhubiriwa habari njema". All that is fine; lakini unapokuja na kudai kuwa kuna watu wamekufa na wewe unao wakiwa wazima unaenda kinyume kabisa na kanuni za asili za ulimwengu na maneno ya Biblia kuwa "baada ya kufa hukumu" na siyo kwenda kulima mashamba ya watu!

Hapa ieleweke misukule wanakuwa hawajafa kifo cha kawaida ila wanachukuliwa kimazingara kichawi!yaani wengine mnaona kabisa kuwa wamekufa ila inakuwa hawajafa bali wanachukuliwa!kwa taarifa yenu hata huko wanapokuwa kwa wachawi huwa kuna kipindi wanakufa kile kifo cha kawaida!
 
Hapa ieleweke misukule wanakuwa hawajafa kifo cha kawaida ila wanachukuliwa kimazingara kichawi!yaani wengine mnaona kabisa kuwa wamekufa ila inakuwa hawajafa bali wanachukuliwa!kwa taarifa yenu hata huko wanapokuwa kwa wachawi huwa kuna kipindi wanakufa kile kifo cha kawaida!
Ninavyosikia hawa misukul kweli hawafi.....ila siku ile ndugu wa 'marehemu' mnazika kitu kama gogo au mgomba na yeye anachukuliwa na kigagula mpaka huko analipopangiwa makazi mapya...

....mnakumbuka zile simulizi za 'kweli' moshi miaka ile ya msitu wa njoro? jamaa alichukuliwa msukule akarudishwa akawa anasimulia kila kitu walichokuwa wanafanywa na kigagula msituni njoro.....
 
umejuaje kama walikuwa wamekufa?

I strongly support you;

1. Pastor offered me R10 000 to sit in a wheelchair.... stand up and walk!! Source: The Sowetan (the soul truth), 04 April 2008. Nigerian preacher and healer Pastor Chris Oyakhilome has been accused by a member of his own church of staging miracle healing sessions.

Some of his followers have said that he has been hiring people to pretend to be sick and disabled and then “be healed” during his television shows and public prayer meetings. (KARIBU SAYUNI...UWANJA WA UWAZI NA UKWELI KUHUSU MASUALA YOTE YA KIBIBLIA NA UKRISTO: April 2008)

2. Katika mkutano mmoja wa Bonke kuna taarifa ua kifo cha uongo na kufufuliwa kiuongo .DANIEL EKECHUKWU pastor raised from dead Reinhard Bonnke Chapel Glory Nigeria David Kirkwood Nigerian Ps Christ Nations Aboderin Lagos Ede Samuel Grace God Mission Onitsha Borromeo Hospital Umezuruike Nneka Jossy Anuebunwa Darlington Manu no hoax Bon)

Waberoya
 
Huyu mama anapaswa achunguzwe haiwezekani mambo anayoyafanya tukae kimya yeye ni nani. Mahala popote penye moshi lazima moto upo ndanindani na huyu mama yanayosemwa lazima kuna hoja ndani yake. Huyu mama anjifunika na biashara yake ya shule kwa uongo huku akitamba na ma vogue kwa pesa za epa na na kuwalipisha wazazi hela nyingi za fees huku akiwaibia waumini sadaka
 
Kutokana na maelezo ya mzee mwanakijiji namuunga mkono kabisa huyu mama kanisa lake hata ukiangalia mahubili yake ni ya kujisifia tuu lazima tanzania tuangalie haya mathehebu ambayo sasa yanaota kama uyoga mengi yapo kwa ajiri ya maslahi na hata ukiangalia
 
Misukule’ hao wanaaminika kuwa walichukuliwa na mtu mmoja mshirikina ambaye alijisalimisha kanisani hapo na kusababisha baadhi ya waumini wa Kanisa hilo kupigwa na butwaa na wengine kuangua vilio kuona baada ya kuwa kuwaona watu hao waliokuwa wanateseka.

Kwa nini Huyu mshirikina aliyekuwa amewaficha hawa ndondocha asijue alikowatoa na kuwapeleka kwenye misitu hiyo ya Chalinze?Hapa isije ikawa miujiza inatengenezwa ili kuzuga watu.Halafu kwa nini hiyo misukule inapatikana hapo tu kwa huyo mama?
Huyu angechagua moja kati ya biashara,ubunge na uchungaji ili kieleweka.Maana biashara imeyafunika haya mengine ya uchungaji na ubunge.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom