Masaningala
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 543
- 199
Isaya 33:1 "Ole wako uharibuye ila hukuharibiwa, utendae hila wala hukutendwa hila! Utakapokwisha kuharibu, utaharibiwa wewe; na utakapokwisha kuharibu, utaharibiwa wewe na utakapokwisha kutenda kwa hila, wao watakutenda hila wewe." Mungu yuko kazini na bado anasema hata sasa.