Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,007
Yeboyebo,
Nakubaliana na wewe kuwa watu wasidharau kazi za wengine. Kama kuna makosa ya kimkataba hayo mliingia wenyewe na kama kuna breach yeyote sheria ichukue mkondo wake.
Kwa ujumla, kuna mdau amezungumzia suala muhimu kabisa la kulipa kodi. Nadhani kuna kazi za aina hii hii ambazo zinawaingizia watu pesa nyingi tu na hawalipi kodi. Tunaokatwa kodi ni akina sisi wenye kamshahara ka TGS D ka laki 2.
Kwa kifupi serikali na jamii yetu ni ya ajabu sana.
Nakubaliana na wewe kuwa watu wasidharau kazi za wengine. Kama kuna makosa ya kimkataba hayo mliingia wenyewe na kama kuna breach yeyote sheria ichukue mkondo wake.
Kwa ujumla, kuna mdau amezungumzia suala muhimu kabisa la kulipa kodi. Nadhani kuna kazi za aina hii hii ambazo zinawaingizia watu pesa nyingi tu na hawalipi kodi. Tunaokatwa kodi ni akina sisi wenye kamshahara ka TGS D ka laki 2.
Kwa kifupi serikali na jamii yetu ni ya ajabu sana.