Mbwembwe za ndege zimeishia wapi?

Mimi huwa nasema hivii? Kitu kuwa nacho baba kuliko kutokuwa nacho, na hizo pesa zilizonunulia hayo makitu zisingelinunua zikaishia kwenye midomo ya mumiani, sasa hapo kipi bora?

Na tuseme tu kwamba hakuna lolote la maana kwa wingi wake linalofanywa na awamu ya 5 na watu wa aina yako wakaunga mkono, sijawahiona wala kusikia!

Sana sana ni kutoa mabango tu ya kusahihisha kwamba asingenunua hichi akafanya hichi!

Tumewapa kura wakapata madaraka kwa ridhaa yetu, wanayoyafanya wanafuata ilani zao walizojipangia na sisi raia tunafurahi kwa kuona wanachosema wanakitenda na kukitekeleza, nchi imebadilika pakubwa kwa muda mfupi na maendeleo ya kweli yanaonekana.

Kama hayo madege hayaleti faida leo, basi yapaki na kesho yatapata tu cha kuliingizia faida taifa.
 
Kwa akili hizi ndio maana ufipa hadi leo bado wanapanga kwenye banda la kuku.
 
Naoana post yangu imefutwa, narudia tena hivi unaweza ukafurahi baba yako kufeli, utakua mzima kweli, hizi ndege ni kwa faida ya nani? Ni yetu sote watanzania lilifanyika jambo hili kwa manufaa yetu lakini watu mnakejeli sana uwekezaji huu
Taratibu hazikufuata A.K.A. CAG ndevu ndefu.
 
Unataka wakikosea tusiseme eti tutaonekana tunapinga kila kitu.
 
Hivi janga la Covid-19 hujui kama limeleta athari kubwa sana, na kuathiri usafari wa anga pia, unachokosoa hapo ni nini, usomi wenu huwa mnasomea nini huko mashuleni mnashindwa hata kutoa tasmini za hapa na pale
Kwani Tz Covid ilitupiga??
 
Naoana post yangu imefutwa, narudia tena hivi unaweza ukafurahi baba yako kufeli, utakua mzima kweli, hizi ndege ni kwa faida ya nani? Ni yetu sote watanzania lilifanyika jambo hili kwa manufaa yetu lakini watu mnakejeli sana uwekezaji huu.
Ni nani aliyekudanganya kuwa ununuzi was ndege ulikuwa ni kwa faida ya Watanzania?
 
Bado zinaatamia zikitotoa utalalama tena.
 
Ni vema umekiri kuwa ZIMEFELI, hayo mambo ya baba usimtumie kwenye mifano ya hovyo. Inategemea pia ulimshauri nini kabla.
🤣 🤣 🤣 biashara ya ndege ni pasua kichwa sana. Inahitaji akili nyingi kuiendesha
 
Baba mjinga ni hasara kwa familia na jamii nzima , ila baba mwerevu n faida kwa familia na wale wanaomzunguka ..



Naoana post yangu imefutwa, narudia tena hivi unaweza ukafurahi baba yako kufeli, utakua mzima kweli, hizi ndege ni kwa faida ya nani? Ni yetu sote watanzania lilifanyika jambo hili kwa manufaa yetu lakini watu mnakejeli sana uwekezaji huu.
 
Najuta kupoteza muda wangu kujibizana na toto la mama

Usihangaike kunijibu maana sitaona kwakuwa nshakuongeza kwenye ignore list yangu...

Toto la mama wahed
 
Naoana post yangu imefutwa, narudia tena hivi unaweza ukafurahi baba yako kufeli, utakua mzima kweli, hizi ndege ni kwa faida ya nani? Ni yetu sote watanzania lilifanyika jambo hili kwa manufaa yetu lakini watu mnakejeli sana uwekezaji huu.
Ndege hazina faida mkuu, hatuwezi kukejeli maendeleo kwa maana halisi ya maendeleo lakini hatuwezi kuunga mkono miradi tunayojua wazi itatutia hasara.
Baba yako akianzisha biashara ya barafu Makete utamuunga mkono?
 
Hazikua ndege za mtu bali za nchi........inashangaza kuuliza maswali ya kejeli
 
Najuta kupoteza muda wangu kujibizana na toto la mama

Usihangaike kunijibu maana sitaona kwakuwa nshakuongeza kwenye ignore list yangu...

Toto la mama wahed
We kweli una akili timamu? , eti nakuweka kwenye ignore list wewe ni nani jinga kweli, who cares nanufaika na nini? unataka umaarufu wa kipuuzi usio na kichwa wala na mguu utafikiri unapata gawio toka jf, we kweli unaezeeka vibaya,
 
Bado hatujaferi ndo tunamka saivi, saivi acha tupaki mambo yakikaa sawa duniani tutaanza safari hadi kwa trumpo saivi.

Mashine bado mpyaa zipo zimepaki tayari kwa kazi

Kupaki Kwa ndege (aeroplane) sio sawa na kupaki baiskeli..tuhesabu masaa kutakuwa na vipuri vya kubadili hata kama haijawa hewani,haijafanya kazi yoyote
 
Naoana post yangu imefutwa, narudia tena hivi unaweza ukafurahi baba yako kufeli, utakua mzima kweli, hizi ndege ni kwa faida ya nani? Ni yetu sote watanzania lilifanyika jambo hili kwa manufaa yetu lakini watu mnakejeli sana uwekezaji huu.
Nilifurahi sana serikali ilipofufua shirika hili, hata kama linaenda kwa hasara, tuwe na shirika letu
 
Good!
 
Kwa hiyo ndege zipo airport tu zinaatamia kama kuku wa kisasa. Wafanye mpango hata wa kusafirisha nyama ya mbuzi kwenda Dubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…