ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,032
- 3,912
Mgema akisifiwa............
Bashite aka Makonda aka kadhaa nyingine
Huyu bwana ni mzee wa mbwembwe na kiki.Mbwembwe na kiki zake sasa zimeanza kumcost SAMIA Suluhu,Gharama ya Mbwembwe za Makonda tunaanza kuziona kwenye uchaguzi wa 2024 serikali za mitaa.
Hakuna ambaye hafahamu sifa kuu ya Paul Makonda ambayo ni kutumia vibaya madaraka kila mara anapopewa.Mara nyingi unaposikia anafanya matukio fulani ya tofauti basi ujue kabisa kwamba kuna tukio lingine ambalo linaendelea chini ya kapeti
Sasa sitaki kusema mengi ila Najua kwenye korido za Lumumba,korido za Magogoni na pia katika korido za ofisi nyingine nyeti Faili tayari limechukuliwa na msomaji sasa yuko ukurasa wa nne
Swali ambao wanajiuliza ni JE,huyu bwana ni Asset ama ni Liability?Na Je Kamba yake nani ambaye ameishika na anayeiongoza.
Najua humu jukwaani kuna wanaojua zaidi kuliko wengine so tujibe hapa kwa comment fupi fupi.Je Nani ambaye anammudu Makonda ndani ama nje ya CCM?Je Makonda ni Asset au ni Liability ndani ya CCM na Mwisho je atumbuliwe Faster au awe Decommissioned kabisa?
Bashite aka Makonda aka kadhaa nyingine
Huyu bwana ni mzee wa mbwembwe na kiki.Mbwembwe na kiki zake sasa zimeanza kumcost SAMIA Suluhu,Gharama ya Mbwembwe za Makonda tunaanza kuziona kwenye uchaguzi wa 2024 serikali za mitaa.
Hakuna ambaye hafahamu sifa kuu ya Paul Makonda ambayo ni kutumia vibaya madaraka kila mara anapopewa.Mara nyingi unaposikia anafanya matukio fulani ya tofauti basi ujue kabisa kwamba kuna tukio lingine ambalo linaendelea chini ya kapeti
Sasa sitaki kusema mengi ila Najua kwenye korido za Lumumba,korido za Magogoni na pia katika korido za ofisi nyingine nyeti Faili tayari limechukuliwa na msomaji sasa yuko ukurasa wa nne
Swali ambao wanajiuliza ni JE,huyu bwana ni Asset ama ni Liability?Na Je Kamba yake nani ambaye ameishika na anayeiongoza.
Najua humu jukwaani kuna wanaojua zaidi kuliko wengine so tujibe hapa kwa comment fupi fupi.Je Nani ambaye anammudu Makonda ndani ama nje ya CCM?Je Makonda ni Asset au ni Liability ndani ya CCM na Mwisho je atumbuliwe Faster au awe Decommissioned kabisa?