Mbwana Samatta....!!!!

Mbwana Samatta....!!!!

Awe makini sasa maana sasa hivi kila mdada mrembo atajifanya anampenda,becareful boy...
 
Hiyo Benz kwa tz ipo mikoa miwili tu!!

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Miaka miatatu ijayo nitakuwa barca nachafua dimba la kati na nitapost picha kama izo izo ngoja niende mazoezini kwanza
 
Kwahyo hyo gari ni yake kaununua kwa pesa yake na endapo anakuja tz atakuja nayo? Au ni ya club amepewa ya kutembelea tu..
 
Kweli maisha hayapo fea
Wakati wewe unasoma kwa mkopo mwenzako katika umri kama wako anaingiza mamilioni kwa mguu wake tu
Miaka michache baada ya kustaafu soka anarudi shule anasoma kwa pesa zake mpaka Phd na kuja kuwa bosi ofisini kwenu
Tafuta pesa kwanza elimu utasoma hata ukiwa babu
 
Back
Top Bottom