Mbwana Samatta....!!!!

Mbwana Samatta....!!!!

WENGI WANAFIKI ASEE.ANGEPOST DIAMOND UNGESIKIA ANAMWONYESHA NANI MAGARI YAKE.HIVI TUNAWEZAJE KUFUGA WIVU NA CHUKI LAKINI KUKU WANATUSHINDA???!
 
Tukiwa na miundombinu mizuri na mipango mizuri, mpira utatoa ajira nyingi sana:
Makocha, marefa, wachezaji, n.k '........................
Najaribu kuona nchi kama Nigeria, Ghana etc zenye sijui mnaita academies za michezo.. mpira in paricular. sawa zina wachezaji nje. Je ni wangapi ukilinganisha na vijana waliobaki nyumbani? Tuwekeze sawa kwenye michezo, lakini tusiwape matumaini makubwa ya ajira ya mpira vijana
 
Back
Top Bottom