Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Kaolewe naye ufaidi matunda ya soka...Kabisa mkuu na huwa naamini hivyo.
Kaolewe naye ufaidi matunda ya soka...Kabisa mkuu na huwa naamini hivyo.
Saizi anacheza ndondo cup
Saizi anacheza ndondo cup
Saizi anacheza ndondo cup
Ni kweli kabisaIla kibongo bongo saiv mpaka ufike hatua kama yake umesota kweli si rahisi
Aliona mineli ndio ishuDaaaah Haruna Moshi Boban angekomaa nae angefikia anga hizo daaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaa.
Wewe umefanya nini??Halafu viongozi wa michezo hawathamini michezo kama mbadala wa ajira kwa vijana wengi, kazi kuvimbiana mitumbo yao.
Amekuambia hapigi kazi?
NimekuchumbiaWewe umefanya nini??
Ndoivo chief, kila mtu anatusua kwa kiwango chakeDaaah kwl haya ndo maisha ila na yy anatamani apokee jiwe kama za neymar kwa wiki wakati m natamani nipokee kama zake daaaah haka kamchezo haka hatari sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkeo??Nimekuchumbia
Na kubana puaAngalau tunaweza kumuona kijana wetu akiwa katika ustaa halisi badala ya ule wa bandia na kukata viuno! Kila lakheri.
Namuacha, umemzidi uremboMkeo??