Taifa Stars imefuzu kucheza Nusu fainali baada ya kuivurumisha Uganda, na mtu aliye teuliwa man of the Match ni Mbwana Samatta ana hojiwa na Ssport kwa kimombo akashindwa na kuomba kuhojiwa kiswahili
kwa hili la Samatta ni dhahiri shahiri wanatakiwa kupelekwa twishen ya kidhungu ili wawe realy Profeshenal
Muwe na tabia ya kuthamini michango ya wenzenu, mwenzetu amepambana kwa ajili ya nchiyake mpaka amekua man of the match na timu yetu tumeshuhudia ikipata ushindi kwa kazi nzuri ya vijana wetu kwa ujumla.