Mbwana Samatta Man of the Match achemka kutema Ung'eng'e

Mbwana Samatta Man of the Match achemka kutema Ung'eng'e

Taifa Stars imefuzu kucheza Nusu fainali baada ya kuivurumisha Uganda, na mtu aliye teuliwa man of the Match ni Mbwana Samatta ana hojiwa na Ssport kwa kimombo akashindwa na kuomba kuhojiwa kiswahili
kwa hili la Samatta ni dhahiri shahiri wanatakiwa kupelekwa twishen ya kidhungu ili wawe realy Profeshenal

akili yako ndogo kwani kingereza ndio kinacheza mpira au
 
kingereza ni lugha kama kichina kiswahili na kifaransa....... sijaona cha maana kwenye thread hii kwani messi na ronaldo wanajua kingereza fasaha???????????????
 
Taifa na Afrika ya Mashariki tunahitaji watu kama Mbwana Samata wanaokataa utumwa wa fikra kwakutukuza lugha ya kizungu, Ameitendea haki Tanzania, ameitendea haki lugha yake ya Kiswahili na zaidi ameutendea haki uafrika wake ambao ni tunu adhimu,
 
Taifa Stars imefuzu kucheza Nusu fainali baada ya kuivurumisha Uganda, na mtu aliye teuliwa man of the Match ni Mbwana Samatta ana hojiwa na Ssport kwa kimombo akashindwa na kuomba kuhojiwa kiswahili
kwa hili la Samatta ni dhahiri shahiri wanatakiwa kupelekwa twishen ya kidhungu ili wawe realy Profeshenal

Kithungu ni nini na kiswahili ni nini,kichina au kifaransa ni nini,jawabu ni kwamba zote ni lugha za mawasiliano,kwa nini mwandishi wa Supersport usitwambie akapige tution ya kiswahili?utakuwa gamba wewe,naziona dalili ktk post yako.
 
Huyo man of the match anapatikana half time? Mechi muda huu ni mapumziko na, japo Tanzania Bara tunaongoza (2-1) mchezo haujaisha. Don't misinform people!

Mkuu SURUMA Uganda wamesawazisha,natabiri tutashinda kwa penati.
 
Last edited by a moderator:
Taifa Stars imefuzu kucheza Nusu fainali baada ya kuivurumisha Uganda, na mtu aliye teuliwa man of the Match ni Mbwana Samatta ana hojiwa na Ssport kwa kimombo akashindwa na kuomba kuhojiwa kiswahili
kwa hili la Samatta ni dhahiri shahiri wanatakiwa kupelekwa twishen ya kidhungu ili wawe realy Profeshenal

MIMI kwangu huo ni USHAJAA!! Acha kuwa mtumwa wa kizungu wewe!!!...... Umeshawahi kumwona Messi anahojiwa kwa kizungu!!!?? Kaonyesha ushujaa na uzalendo pia!!! Viva SAMATTA.....
 
Taifa Stars imefuzu kucheza Nusu fainali baada ya kuivurumisha Uganda, na mtu aliye teuliwa man of the Match ni Mbwana Samatta ana hojiwa na Ssport kwa kimombo akashindwa na kuomba kuhojiwa kiswahili
kwa hili la Samatta ni dhahiri shahiri wanatakiwa kupelekwa twishen ya kidhungu ili wawe realy Profeshenal

Kingereza sio inshu,na katika kuhojiwa unakuwa huru kutumia lugha unayoipenda, hata hao wasouth wanaiga na kuongea kiswahili. Ni utambulisho wa taifa pia kama akiongea kwa kiswahili dunia ikimuangalia. Kikichomfanya mpaka akahojiwa ni perfomance yake uwanjani na sio lugha.
 
Taifa Stars imefuzu kucheza Nusu fainali baada ya kuivurumisha Uganda, na mtu aliye teuliwa man of the Match ni Mbwana Samatta ana hojiwa na Ssport kwa kimombo akashindwa na kuomba kuhojiwa kiswahili
kwa hili la Samatta ni dhahiri shahiri wanatakiwa kupelekwa twishen ya kidhungu ili wawe realy Profeshenal

Nampongeza mbwana samatta kwa kuenzi lugha ya kiswahili
Kiswahili mbele.....uzalendo oyeee...
 
Taifa Stars imefuzu kucheza Nusu fainali baada ya kuivurumisha Uganda, na mtu aliye teuliwa man of the Match ni Mbwana Samatta ana hojiwa na Ssport kwa kimombo akashindwa na kuomba kuhojiwa kiswahili
kwa hili la Samatta ni dhahiri shahiri wanatakiwa kupelekwa twishen ya kidhungu ili wawe realy Profeshenal

Hata huyu naye Kidhungu kwake ni tatizo kubwa ila anategemewa na Chelsea.
images.jpeg
 
Mbona hukuhoji kuhusu wachezaj wa somalia,sudan rwanda,burundi...n.k umefilisika kimawazo...ungeenda wewe kuhojiwa..s..kiraka
 
Kiingereza sio ishu,ishu ni kwamba alianza kwa kuongea kiingereza alipoona kina mshinda ndo akaomba poo na kuomba ajieleze kwa kiswahili.kwa nini asingeanza na kiswahili toka mwanzo??tatizo watanzania hatutaki kukubali kwamba hatujui
 
Ss tunachotaka ni magoli. Kama angekosa penati ningemshangaa.
Ushauri,, ni vizuri kwa wachezaji na watu wengine kujifunza lugha hz za kimataifa make huwezi kujua ya mbeleni, waweza kupata dili huko majuu na mkumbuke kuwa kufahamu lugha za watu wengine haiondoi uzalendo hata kidogo.
 
nilifurahi alipoomba kuulizwa kwj kiswahili,lugha mama! Hv akijua english halafu mpira apotezee itamsaidia nin? Kujua kwake english hakuna faida kwetu,bali uwezo wake uwanjani ni faraja kwa taifa. English ni ziada tu atajifunza akitulia kama atataka coz it's nt a must!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom