Sad, ipo mifano mingi ulinganifu serikali Makaburi SA na Serikali ya CCM
Kubambika kesi
Wafungwa wa kisiasa
Udanganyifu chaguzi
Upendeleo miradi ya maendeleo
....
Sad, ipo mifano mingi ulinganifu serikali Makaburi SA na Serikali ya CCM
Kubambika kesi
Wafungwa wa kisiasa
Udanganyifu chaguzi
Upendeleo miradi ya maendeleo
....
Duh, Madam President wa kisiwa cha amani Samia Suluhu Hassan wa Tanzania kweli ana hamu sana ya kuacha legacy yake na kwa sababu hiyo akakaaa, akafikiria na kuamua njia gani ampiku mwendakuzimu, John Pombe "JPM" Magufuli.
Basi akachagua ile njia ya makaburu wa Afrika Kusini wakati wa kesi iliyojulikana kama Rivonia Trial aliyofunguliwa Nelson Mandela mwaka 1963 akituhumiwa kwa ugaidi chini ya utawala wa kaburu Balthazar Johannes "B. J." Vorster.
Baada ya hukumu kichwa cha habari kwenye magazeti duniani kilikuwa ni kama hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.