- Thread starter
- #21
hahahah koko ndio anamgeuzia kibao hata bossi wake mkuu,sikufichi hapa majirani wanaonizunguka wameshavamiwa wote lakini hapa kwangu hakuna aliyewahi kutia mguu hata mmoja.Mkuu nawaelewa mno GS. Ni mbwa wakali na nnawakubali 100 Percent kwenye ulinzi zaidi ya binadamu anaeweza kumgeuka hata boss wake.
Naomba unitumie niwaone vizuri,,,na kama yupo pure black asiekuwa na doa nijulishe kiongozi.