Mbuzi wa mtaani

Mbuzi wa mtaani

mliverpool

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2015
Posts
1,580
Reaction score
2,990
Hawa mbuzi wa Dar tunaoshinda nao Bar na kugombea nao madem wananifikirisha sana,hivi nani aliwahi kumchinja mmoja akakakutana na mauza uza??

Maana kila mtu anasema ni mbuzi mara dawa mara wa albadiri eti ukila lina kukuta jambo,nani aliwahi kukutwa na jambo au mtu wake wa karibu kwa kujaribu kula hawa mbuzi,isije kuwa ni survival mechanism yao mjini wakaambiana ili watoboe mjini basi watunge stori kuwa wao ni mbuzi wa dawa ukijaribu kuwala unakufa.....

Nimeandika hivi baada ya kukutana na kundi la mbuzi hapa ilala wana jeuri balaa wananenepeana tu hawaogopi Chochote!!
 
Hawa mbuzi wa Dar tunaoshinda nao Bar na kugombea nao madem wananifikirisha sana,hivi nani aliwahi kumchinja mmoja akakakutana na mauza uza??

Maana kila mtu anasema ni mbuzi mara dawa mara wa albadiri eti ukila lina kukuta jambo,nani aliwahi kukutwa na jambo au mtu wake wa karibu kwa kujaribu kula hawa mbuzi,isije kuwa ni survival mechanism yao mjini wakaambiana ili watoboe mjini basi watunge stori kuwa wao ni mbuzi wa dawa ukijaribu kuwala unakufa.....

Nimeandika hivi baada ya kukutana na kundi la mbuzi hapa ilala wana jeuri balaa wananenepeana tu hawaogopi Chochote!!
Hiyo hoja ya survival mechanism nadhani ndio inaukweli... Hao mbuzi magomeni, ukishuka hadi mwananyamala bondeni kule hadi kuibukia mkwajuni wamejaa sana na ukiwauliza watu wanatoa stori hizo hizo za mbuzi wa albadili na blah blah kama hizo😅😅.

Lakini swali ambalo huwa najiuliza ni je, wale wote ni mbuzi wa mtu mmoja? Coz wako very scattered.
 
Huo ni ujinga tu ambao watu wameaminishwa hivyo

Kuna wilaya moja nilikaa zamani, basi Mbuzi walikuwa wanaranda randa tu mjini kila siku

Walikuwa wachcche ila walikuja kuongezeka kwa sababu kuna mtu mwingine alianza kufuga kwa staili hiyo.
Watu wakawa wanasema ni Mbuzi wa kafara, ila kiuhalisia wana wenyewe na tusioamini ujinga ule tulikuwa tunajua Mbuzi hawana lolote bali ni wanyama tu

Basi kuna jamaa mmoja alikuja mgeni akafungua Bar ya kuuza pombe
Kabila mnalijua)
Akawa ananunua nyama pia na kuchoma

Baada ya mda kumbe nae akawa na uroho wa hao Mbuzi na kuona kwa kupunguza gharama awe anaiba Mbuzi mmoja mmoja

Tunashangaa Mbuzi wanapungua tu
Kumbe walevi ndio wanalishwa eti Mbuzi wa kafara 😂😂😂😂😂
 
Hiyo hoja ya survival mechanism nadhani ndio inaukweli... Hao mbuzi magomeni, ukishuka hadi mwananyamala bondeni kule hadi kuibukia mkwajuni wamejaa sana na ukiwauliza watu wanatoa stori hizo hizo za mbuzi wa albadili na blah blah kama hizo😅😅.

Lakini swali ambalo huwa najiuliza ni je, wale wote ni mbuzi wa mtu mmoja? Coz wako very scattered.
Mateja wanasemaje nao wanaogopa?
 
Hawa mbuzi wa Dar tunaoshinda nao Bar na kugombea nao madem wananifikirisha sana,hivi nani aliwahi kumchinja mmoja akakakutana na mauza uza??

Maana kila mtu anasema ni mbuzi mara dawa mara wa albadiri eti ukila lina kukuta jambo,nani aliwahi kukutwa na jambo au mtu wake wa karibu kwa kujaribu kula hawa mbuzi,isije kuwa ni survival mechanism yao mjini wakaambiana ili watoboe mjini basi watunge stori kuwa wao ni mbuzi wa dawa ukijaribu kuwala unakufa.....

Nimeandika hivi baada ya kukutana na kundi la mbuzi hapa ilala wana jeuri balaa wananenepeana tu hawaogopi Chochote!!
Hao nimesha tafuna wa3 na hamna chochote,tena watamu balaaa
 
Mateja wanasemaje nao wanaogopa?
Sijawahi kufanya uchunguzi serious juu ya hili kiasi cha kufika hadi kwa mateja ila kwa jinsi wale mbuzi wanavyokua na kuongezeka Kila siku itakua kinamna fulani hata wao wanakauoga hivi... Kinyume chake ilibidi wapungue badala ya kuongezeka
 
Hawa mbuzi wa Dar tunaoshinda nao Bar na kugombea nao madem wananifikirisha sana,hivi nani aliwahi kumchinja mmoja akakakutana na mauza uza??

Maana kila mtu anasema ni mbuzi mara dawa mara wa albadiri eti ukila lina kukuta jambo,nani aliwahi kukutwa na jambo au mtu wake wa karibu kwa kujaribu kula hawa mbuzi,isije kuwa ni survival mechanism yao mjini wakaambiana ili watoboe mjini basi watunge stori kuwa wao ni mbuzi wa dawa ukijaribu kuwala unakufa.....

Nimeandika hivi baada ya kukutana na kundi la mbuzi hapa ilala wana jeuri balaa wananenepeana tu hawaogopi Chochote!!
Sina ushuhuda ila kuna mtu aliniambia pale Mwananyamala Koma Koma kuna mlevi mmoja alichinja mbuzi wa kitaa baada ya kushikwa na njaa na kuwa na hamu ya nyama choma. Wanasema jamaa aliachishwa kazi kwani alikuwa anashindwa kwenda kazini kwa sababu kila akitoka kwenda kazini alikuwa anajinyea barabara nzima anafuatwa na nzi, akirudi nyumbani anakuwa katulia. Akitoka tu kwenda nje ya nyumba yake anaanza tena kujinyea hovyo, jamaa aliishi mle ndani mwa nyumba yake mwaka mzima bila kutoka nje.
 
Back
Top Bottom