Mbuzi wa Baba!!

Mbuzi wa Baba!!

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
23,265
Reaction score
17,135
n.jpg


Huu ni unyanyasaji
 
Nani aliyenyanyasika mkuu???Maana kuna pikipiki,watu,mbuzi na chakula anachokula huyo jamaa.
 
nimecheeeeeeeeeeeeeeka basi. Jamani mbuthi wooote hao kwenye toyo moja? mchina aliyeitengeza akiona lazima akubali Mwafrica hajui thamani a kitu.hata kwente guta hawakai.
 
Mbuzi aliepanda pikipiki atakuwa na bei juu kuliko waliotembea kwa miguu1
 
Back
Top Bottom