Ingawa haikuoneshwa au kuelezwa vyema,habari mkanda-tembezi ya ITV zinasema kuwa mnyama aina ya mbuzi amezaa mtoto wa binaadamu mkoani Singida. Sijui kwanini haikuelezwa kwa kina habari hiyo. Mlio Singida mtusaidie kujua habari hii
Ingawa haikuoneshwa au kuelezwa vyema,habari mkanda-tembezi za ITV zinasema kuwa mnyama aina ya mbuzi amezaa mtoto wa binaadamu mkoani Singida. Sijui kwanini haikuelezwa kwa kina habari hizo. Mlio Singida mtusaidie kujua habari hii
hapana msielekeze lawama eti watu wametembea na huyo mbuzi,kibaolojia binadamu na mbuzi ni "species" tofauti hawawezi kuzaa,hiyo ni miujiza ya kibaolojia tu
Ingawa haikuoneshwa au kuelezwa vyema,habari mkanda-tembezi ya ITV zinasema kuwa mnyama aina ya mbuzi amezaa mtoto wa binaadamu mkoani Singida. Sijui kwanini haikuelezwa kwa kina habari hiyo. Mlio Singida mtusaidie kujua habari hii
they are different species, biologically haiwezekani kutungisha mimba, otherwise yai la mbuzi lime -undergo mutation na kuweza kuadapt conditions za yai la binadamu. Uchawi tu wa watanzania, kama kawaida yao.