Mbuzi 50

Mbuzi 50

Habari ndugu zangu, nimekuwa nikifutiwa na kilimo pamoja na ufugaji kwa muda mrefu sana.
Nataka nianze na ufugaji kwanza natafuta mtu wa kuniuzia mbuzi 50 kwa bei nzuri, na kama bei itakuwa nzuri zaidi ntachukua mbuzi 100 wa kuanza nao. Nitajie bei yako ( whatsapp contacts 0685068828 )
Kwanza ungesema uko wapi ili nikusaidie chimbo upate kwa bei ya chini.
 
Mkuu tafuta namba za viongozi wa simba unawapata chapu tu, tena hao 50 ni wachache sana.

Mwisho nikupe pongezi kwa uamuzi huo wa kufuga.
 
Habari ndugu zangu, nimekuwa nikifutiwa na kilimo pamoja na ufugaji kwa muda mrefu sana.
Nataka nianze na ufugaji kwanza natafuta mtu wa kuniuzia mbuzi 50 kwa bei nzuri, na kama bei itakuwa nzuri zaidi ntachukua mbuzi 100 wa kuanza nao. Nitajie bei yako ( whatsapp contacts 0685068828 )
Nipo geita kijijini unataka mbuzi size gani? majika mangapi na mabeberu mangapi?
Mbuzi aliye tayari kupandwa ni 80-100k karibu sana

NB:Mimi sina na sio dalali ila nina connection na wauzaji na wafugaji ni mbuzi kwa % kubwa huzaa mapacha
 
Habari ndugu zangu, nimekuwa nikifutiwa na kilimo pamoja na ufugaji kwa muda mrefu sana.
Nataka nianze na ufugaji kwanza natafuta mtu wa kuniuzia mbuzi 50 kwa bei nzuri, na kama bei itakuwa nzuri zaidi ntachukua mbuzi 100 wa kuanza nao. Nitajie bei yako ( whatsapp contacts 0685068828 )
Halafu hii namba yako haipo Whattsapp.
 
Nina mbuzi 700 hapa simiyu.kwa Kila mmoja nauza Kwa laki sita tu.karibu mwana Dar es salaam nikuuzie mbuzi walionona.
 
Habari ndugu zangu, nimekuwa nikifutiwa na kilimo pamoja na ufugaji kwa muda mrefu sana.
Nataka nianze na ufugaji kwanza natafuta mtu wa kuniuzia mbuzi 50 kwa bei nzuri, na kama bei itakuwa nzuri zaidi ntachukua mbuzi 100 wa kuanza nao. Nitajie bei yako ( whatsapp contacts 0685068828 )
MUBENDE
 
Back
Top Bottom