The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 4,780
- 8,160
Uenda wa matambiko haoMkuu hawa wa kuuzwa kwa bei hii wana nini cha ziada?
Uenda wa matambiko haoMkuu hawa wa kuuzwa kwa bei hii wana nini cha ziada?
Kwanza uzito wao unaanza na 100kg mpaka 135kg madumeMkuu hawa wa kuuzwa kwa bei hii wana nini cha ziada?
Mkuu ndo hivyo mdomo wa kuchi unachongwa unakuwa kama wa kasuku na unapigwa vizuri tuHahahahahaa. Nimecheka sana. Ila wabongo balaa.
Kwa hiyo wewe ni winga kwenye idara hiyoNipo geita kijijini unataka mbuzi size gani? majika mangapi na mabeberu mangapi?
Mbuzi aliye tayari kupandwa ni 80-100k karibu sana
NB:Mimi sina na sio dalali ila nina connection na wauzaji na wafugaji ni mbuzi kwa % kubwa huzaa mapacha
Hapana mi ni mfugaji tu na siuzi wale wa kwangu.Kwa hiyo wewe ni winga kwenye idara hiyo