BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Tanzania naipenda nchi yangu.
Yule mbunifu aliebuni nembo ya kampuni ya ndege ya ATCL na kuamua kustaafu amezawadiwa kitita cha million 200 kama kiinua mgongo.
Katika hali ya kushangaza inayotuonyesha serikali ya kikwete inapoelekea wakati mh huyu alikabidhiwa kampuni hiyo aliahidi mambo lukuki baada ya hapo wakaanza mchakato wa kuimaliza atcl huku wakijiwekea muda muafaka kwa muda fulan tuwe hatuna ndege ya kuruka.
Kwa kweli nikiwa hazina nilisikia kizungu zungu nikaumia wale wazee waliofikisha ATCL kuwana ndege 10 enzi hizo wamestaafu hata million 20 awajaziona na wengine bado wanadai kampuni leo hii mtu anakuja na mada ya kubuni nembo ya kampuni na kustaafu gafla na kukabidhiwa million 200.
Jamani hizi pesa ni sawa na zahanati mbili za watu wasiopungua 80-100 kwa wakati mmoja je hii serikali inatupeleka wapi..ninapoona anaekuja nae atakuja na rangi mpya za hii kampuni ili akiondoka aondoke na mlo mzuri huku akijiamba alibadilssha rangi na kuwa ya mngaro.
Wabunge embu kuweni makini na uteuzi mpya wa mkurugenzi wa atcl naona madudu mengine yanakuja bila kujieleewa.
Mungu ibariki Libya na wananchi wake.
Yule mbunifu aliebuni nembo ya kampuni ya ndege ya ATCL na kuamua kustaafu amezawadiwa kitita cha million 200 kama kiinua mgongo.
Katika hali ya kushangaza inayotuonyesha serikali ya kikwete inapoelekea wakati mh huyu alikabidhiwa kampuni hiyo aliahidi mambo lukuki baada ya hapo wakaanza mchakato wa kuimaliza atcl huku wakijiwekea muda muafaka kwa muda fulan tuwe hatuna ndege ya kuruka.
Kwa kweli nikiwa hazina nilisikia kizungu zungu nikaumia wale wazee waliofikisha ATCL kuwana ndege 10 enzi hizo wamestaafu hata million 20 awajaziona na wengine bado wanadai kampuni leo hii mtu anakuja na mada ya kubuni nembo ya kampuni na kustaafu gafla na kukabidhiwa million 200.
Jamani hizi pesa ni sawa na zahanati mbili za watu wasiopungua 80-100 kwa wakati mmoja je hii serikali inatupeleka wapi..ninapoona anaekuja nae atakuja na rangi mpya za hii kampuni ili akiondoka aondoke na mlo mzuri huku akijiamba alibadilssha rangi na kuwa ya mngaro.
Wabunge embu kuweni makini na uteuzi mpya wa mkurugenzi wa atcl naona madudu mengine yanakuja bila kujieleewa.
Mungu ibariki Libya na wananchi wake.