huna kazi nyingine ya kukuingizia kipato umebaki kufungua tu id jf na ku comment upumbavu
Wa kwanza atakua MR II SUGU lazima alipoteze jimbo la mbeya mjini kwa 7bu alitoa ahadi kwa wananchi mpaka sasa ajatekeleza.
Kwani lazma wawe wabunge? na Je, umetumia vigezo gani kuwapata?1. David Mathayo David
2. Wenje
3. Magufuli
4. Mchungaji Msigwa
5. Kivia
6. Koney wa Mbulu
7. Anna Tibaijuka
8. Anna Makinda
9. Hamis Kigwangala
10. Lissu
11. prof Magembe
Peter Msigwa