Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,062
- 3,280
Kuna misemo isamayo ..
1. Dalili ya mvua ni mawingu.
2. Nyota njema huonekana asabuhi.
3. Kwenye nia njia.
Ukizingati upeo waliona wananchi kwa sasa,ukizingatia pia utumilifu wa ahadi za baadhi ya wabunge pamoja na utendaji wao kwnye majimbo.. Hakika utakubaliana na mm kuna baadhi ya wananchi lazima wataamua maamuzi magumu saana ni wapi watatupa kura yao 2015.
Wanajamvi tusemezana haya..
1.je kwa wewe binafsi unaona ni mbunge yupi unaona yupo hatiani kupoteza jimbo lake .
2.je ni nini hasa kitakachomsababishia mbunge huyo kupoteza jimbo kwenye uchaguzi 2015.
Hii inaweza kuwasaidia baadhi yao kujua ni hatua gani za kuchukua ikiwa wengi wao ni watembeleaji wazuri wa 'jf'.
1. Dalili ya mvua ni mawingu.
2. Nyota njema huonekana asabuhi.
3. Kwenye nia njia.
Ukizingati upeo waliona wananchi kwa sasa,ukizingatia pia utumilifu wa ahadi za baadhi ya wabunge pamoja na utendaji wao kwnye majimbo.. Hakika utakubaliana na mm kuna baadhi ya wananchi lazima wataamua maamuzi magumu saana ni wapi watatupa kura yao 2015.
Wanajamvi tusemezana haya..
1.je kwa wewe binafsi unaona ni mbunge yupi unaona yupo hatiani kupoteza jimbo lake .
2.je ni nini hasa kitakachomsababishia mbunge huyo kupoteza jimbo kwenye uchaguzi 2015.
Hii inaweza kuwasaidia baadhi yao kujua ni hatua gani za kuchukua ikiwa wengi wao ni watembeleaji wazuri wa 'jf'.