Thinkyyy
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 548
- 71
Daima mbele nyuma mwikoooo ni Yesu tuu kwa kwenda mbeleee
yani swity unajitambua ndo mana nakupenda mahari yako ni billion 6 bajeti ya wizara ya mapenzi
Daima mbele nyuma mwikoooo ni Yesu tuu kwa kwenda mbeleee
hizi mmefurahia
naomba untumie kwa jina languNinazo aisee hizo picha sema naogopa Ban tu hapa Mkuu...
yani swity unajitambua ndo mana nakupenda mahari yako ni billion 6 bajeti ya wizara ya mapenzi
dadadeki zao nilijua tu
Kucha nnazo......lete upele kama unao
umeletewa umeshindwa
Ha haaaa uwiiii usije tu ukaingia mitini nikapata aibu uniambie mapema tu nitafute kitanda aghakan. Ila badae unitafute tu tugawane hiyo michango angalau nifute machozi.
Kwani zipi tulichukia? Mimi nimefurahi kumuona MACHEMULI akitumia kodi zetu kiume!
We kila mwenye sketi ni dada yako? weka picha tuwaone acha porojoAisee ni dada nini yupo na MACHEMLI?
Huyu mtu wa kazi sio komba kibamia anaishia kushikashika matiti..machemli katishaaaaaa
siingi mitini mama ,si unaona wengine wanavyo fyekwa na komba na mwenzake staki hao mimi
Ulete huo.......
Nimejitolea Kutuma Picha hizi kwa PM...Kwa anayetaka!
Huyo dada kafunga usongo......utafikiri Cyncia
mara ngapi?