stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,765
- Thread starter
- #341
We kila mwenye sketi ni dada yako? weka picha tuwaone acha porojo
Picha si zilishawekwa na watu mara kibao?
We kila mwenye sketi ni dada yako? weka picha tuwaone acha porojo
Mie nazitaka
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Ha ha ha usongo wa kitu.
Hao hawajitambuii wako ki maslahi zaidii pesa mbele utu badae.
Picha tafadhali.
hivi swity atafata yupi wa cuf au nccr au ccm tena
Ha haaaa hiyo movie ni ccm kwanza hadi mastelingi waisheee wao ndio wazee wa mujini tumia pesa ikuzoeee. Then watafata hao wengine kama wapo maana kuna msemo ukikaa na muuza perfume nawe utanukia perfume lol.
Nimejitolea Kutuma Picha hizi kwa PM...Kwa anayetaka!
haha mwagulu nchimba au wasora mtazamo tu
Ha haaaa huyo nchimba mtata sana hadi totoz aweze kumpiga picha ni shughuliii bora huyo mwingine waweza mvizia akilewaa.
zishawekwa
Zipo kule ukubwani
Mbungeeee kabamba matongeeee.
hivi swity atafata yupi wa cuf au nccr au ccm tena
Viongozi na wana chadema ni wachafu sana, wanapenda ufuska.