Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Kama hujaziona hizo picha, tembelea tovuti ya chadema zinaonekana poa.
Kesho zitatoka kwenye gazeti la Tanzania Daima mtaziona
Kesho zitatoka kwenye gazeti la Tanzania Daima mtaziona
Mbona hizo picha mnaziona wenyewe?Hakuna cha page#9 wala 10.Kuweni wawazi.
Hofu yangu ni kwamba mwisho wa siku zitakuja za jk au mbowe! Huu upuuzi wa kuunga unga picha sio wa kushabikia.
Nasikia juma nkamia nae zake zipo...kuna mdada kasema akimtibua tuuu anazirusha
haha posho wanafaidi madada poa familia watajua wenyewe
Zamu ya Dj ss hivi.
Ha haa haaa kumbe ma dj nao wamo acha movie ziendeleeee.
siku utakapokuta za mshua wako ndo utajua huu mchezo wa photoshop siyo.
Photoshop zinajulikana bwana
haya mama nimekupata habari za wewe hapa ulipo ?
Salama mwaya cjui nawe pande hizo.
huku ni full nini maana ya jina lako ?
Ha haaaaa mbona linaeleweka?
Viongozi na wana chadema ni wachafu sana, wanapenda ufuska.