Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
Kaolewa na babu fulani ana mapene hatari, ila kazaa watoto wawili na Salum Mwalimu wa CHADEMA. Sema demu kichwa hesabu imelala kichwani mlimani wanamtambua.Ameolewa huyu dada kama hajaolewa naomba nijitupe ninaniya naye sana maana nampenda
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeMume wake wa halali not Salum Mwalimu ni Mzee fulani yuko pale Ud. Ana mzigo wa kutosha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes. Was my lecture nafkiri kwa sasa atakuwa na 70s... Ndio maana Salum Mwalim anajilia game kilaini sana, cse Babu kachoka by nowAisee
Babu tena kaaazi kweli kweli
Unaharibu ndoa ya watu mkuuKaolewa na babu fulani ana mapene hatari, ila kazaa watoto wawili na Salum Mwalimu wa CHADEMA. Sema demu kichwa hesabu imelala kichwani mlimani wanamtambua.
''
Salum Mwalimu anao watoto wawili, wa kwanza wa kike na wa pili ni wa kiume. Mazingira aliyonayo yanakuwa magumu kumpandisha jukwaani mzazi mwenzie pamoja na watoto kwa sababu mzazi mwenzie ni mke wa mtu. Hivyo inakuwa changamoto.
Naamini kuna siku atafanya hivyo , aliyezaa nae kaolewa na Mzee wa makamo hivyo ikamlazimu huyo dada ambaye ni mbunge (CHADEMA) wa jimbo kutoka mkoa wa Mara kutafuta kijana aweze kufurahia ujana wake maana damu bado inachemka, na mapenzi yao yalianzia walipokutana kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Tarime mwaka 2008 baada ya kifo cha Marehemu Chacha Wangwe ''
Soma >Salum Mwalimu ana watoto, asidhalilishwe - JamiiForums
chadema ikila ntu na ntuwe!Kaolewa na babu fulani ana mapene hatari, ila kazaa watoto wawili na Salum Mwalimu wa CHADEMA. Sema demu kichwa hesabu imelala kichwani mlimani wanamtambua.
''
Salum Mwalimu anao watoto wawili, wa kwanza wa kike na wa pili ni wa kiume. Mazingira aliyonayo yanakuwa magumu kumpandisha jukwaani mzazi mwenzie pamoja na watoto kwa sababu mzazi mwenzie ni mke wa mtu. Hivyo inakuwa changamoto.
Naamini kuna siku atafanya hivyo , aliyezaa nae kaolewa na Mzee wa makamo hivyo ikamlazimu huyo dada ambaye ni mbunge (CHADEMA) wa jimbo kutoka mkoa wa Mara kutafuta kijana aweze kufurahia ujana wake maana damu bado inachemka, na mapenzi yao yalianzia walipokutana kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Tarime mwaka 2008 baada ya kifo cha Marehemu Chacha Wangwe ''
Soma >Salum Mwalimu ana watoto, asidhalilishwe - JamiiForums
Huyu dem asingekuja kwenye public limelight namna hii.....kweli mm binafsi baada ya kuona ili andiko heshma yangu kwake imepungua.....infact hata wapiga kura hawapendi....unapoanza kujipambanua kwa mali.....Kaolewa na babu fulani ana mapene hatari, ila kazaa watoto wawili na Salum Mwalimu wa CHADEMA. Sema demu kichwa hesabu imelala kichwani mlimani wanamtambua.
''
Salum Mwalimu anao watoto wawili, wa kwanza wa kike na wa pili ni wa kiume. Mazingira aliyonayo yanakuwa magumu kumpandisha jukwaani mzazi mwenzie pamoja na watoto kwa sababu mzazi mwenzie ni mke wa mtu. Hivyo inakuwa changamoto.
Naamini kuna siku atafanya hivyo , aliyezaa nae kaolewa na Mzee wa makamo hivyo ikamlazimu huyo dada ambaye ni mbunge (CHADEMA) wa jimbo kutoka mkoa wa Mara kutafuta kijana aweze kufurahia ujana wake maana damu bado inachemka, na mapenzi yao yalianzia walipokutana kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Tarime mwaka 2008 baada ya kifo cha Marehemu Chacha Wangwe ''
Soma >Salum Mwalimu ana watoto, asidhalilishwe - JamiiForums