Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,347
- Thread starter
- #41
0675619532
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0675619532
ccccc watu kwa kudukua ni hatariKaolewa na babu fulani ana mapene hatari, ila kazaa watoto wawili na Salum Mwalimu wa CHADEMA. Sema demu kichwa hesabu imelala kichwani mlimani wanamtambua.
''
Salum Mwalimu anao watoto wawili, wa kwanza wa kike na wa pili ni wa kiume. Mazingira aliyonayo yanakuwa magumu kumpandisha jukwaani mzazi mwenzie pamoja na watoto kwa sababu mzazi mwenzie ni mke wa mtu. Hivyo inakuwa changamoto.
Naamini kuna siku atafanya hivyo , aliyezaa nae kaolewa na Mzee wa makamo hivyo ikamlazimu huyo dada ambaye ni mbunge (CHADEMA) wa jimbo kutoka mkoa wa Mara kutafuta kijana aweze kufurahia ujana wake maana damu bado inachemka, na mapenzi yao yalianzia walipokutana kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Tarime mwaka 2008 baada ya kifo cha Marehemu Chacha Wangwe ''
Soma >Salum Mwalimu ana watoto, asidhalilishwe - JamiiForums
Aiseee MkuuSalum Mwalim ana hatari, anazaa na mke wa mtu, kwa hiyo Salum anasubiri babu afe arithi mali .......Ndio maana mshkaji hataki kuoa anamsikilizia mke wa mtu
Hajazaa na huyo babu?Yes. Was my lecture nafkiri kwa sasa atakuwa na 70s... Ndio maana Salum Mwalim anajilia game kilaini sana, cse Babu kachoka by now
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio yeye mkuu ni vyombo vyetu vya habari kuwa na program ambazo zinawatembelea watu maarufu katika nyanja za siasa, biashara, sanaa n.k kujua mbali na siasa ama sanaa kuna issue gani zingine nyuma ya pazia wanafanya na je majukumu ya kifamilia wanayatekelezaji huku wakiwa wamebanwa na majukumu mengine ya kitaifa. (lengo kuwaandaa kisaikolojia waleambao ni underground pindi watakapofika level flani)Huyu dem asingekuja kwenye public limelight namna hii.....kweli mm binafsi baada ya kuona ili andiko heshma yangu kwake imepungua.....infact hata wapiga kura hawapendi....unapoanza kujipambanua kwa mali.....