johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,330
- 142,541
Rip!
Umeona mbali,taarifa za ajali ya Mbunge hata hazikutolewa,Ajali?
Really?
Picha iko wapi?
Mnaona WaTZ wajinga eee?
Keep on lying to yourselves!
Kura tena jamani si tumekubaliana kutoa pole 😀😀Mmmh, kama hakuiba kura Mungu amweke pahali pema.
Mkuu wa mkoa wa mbeya alipiga marufuku neno "kifo cha ghafla?Ajali?
Really?
Picha iko wapi?
Mnaona WaTZ wajinga eee?
Keep on lying to yourselves!
Ngoja tukaomboleze kwa kunywa serengeti lite 12.Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mkoa wa Kigoma Ndugu Atashasta Nditiye alipata ajali ya gari juzi Alfajiri Dodoma.
Taarifa ni kuwa ametangulia mbele ya haki mapema leo.
Pumzika vema mzee Nditiye, mtu mwema.
Ajali?
Really?
Picha iko wapi?
Mnaona WaTZ wajinga eee?
Keep on lying to yourselves! Kuna watu mnafurahisha sana hakuna aliyekuzuia kuvaa barakoa kujisinitize ,kujifukiza,kunawa na hata ukipenda ujifungie ndani kama uchumi unaruhusu kwan kuna aliyekuja kukukamata?tuache lawama jamani
Kule kuna bia inaitwa PRIMUS tamuuu sanaNgoja tukaomboleze kwa kunywa serengeti lite 12.
Ajali ya gari!! Huo ni uwongo. Ilikuwa ajali ya namna gani ambaye imetokea Dodoma, halafu hata isisikike kwa ntu hata mmoja au kwa chombo chochote cha habari?Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mkoa wa Kigoma Ndugu Atashasta Nditiye alipata ajali ya gari juzi Alfajiri Dodoma.
Taarifa ni kuwa ametangulia mbele ya haki mapema leo.
Pumzika vema mzee Nditiye, mtu mwema.
Duuu sisi wazee mbona ndiyo tunapigwa sana jamani?Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mkoa wa Kigoma Ndugu Atashasta Nditiye alipata ajali ya gari juzi Alfajiri Dodoma.
Taarifa ni kuwa ametangulia mbele ya haki mapema leo.
Pumzika vema mzee Nditiye, mtu mwema.
Atashasta Justus Nditiye ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Muhambwe Kigoma kwa mwaka 2015 – 2020 na Mwaka 2020 - 2025. Kazaliwa Tarehe 17 Oktoba 1969
Labda alilazimishwa kuibaMmmh, kama hakuiba kura Mungu amweke pahali pema.
Nimeshangaa kweli kweli kama alipata ajali tangu juzi na hatukusikia popote hadi amefariki ndo inatangazwa kwamba alipata ajali hii inafikirisha...Umeona mbali,taarifa za ajali ya Mbunge hata hazikutolewa,
Inawezekana kweli?
🙈🙏🏾
Na pia RIP kama ulishinda kihalali
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mkoa wa Kigoma Ndugu Atashasta Nditiye alipata ajali ya gari juzi Alfajiri Dodoma.
Taarifa ni kuwa ametangulia mbele ya haki mapema leo.
Pumzika vema mzee Nditiye, mtu mwema.
Atashasta Justus Nditiye ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Muhambwe Kigoma kwa mwaka 2015 – 2020 na Mwaka 2020 - 2025. Kazaliwa Tarehe 17 Oktoba 1969
Ni ngumu ngumu sana mbunge wa wa CCM kuchaguliwa bila kuiba kura. Mungu amuweke mahali alipopachagua wakati yupo hai.Mmmh, kama hakuiba kura Mungu amweke pahali pema.