Mbunge wa Momba, David Silinde rasmi ahamia CCM

Mbunge wa Momba, David Silinde rasmi ahamia CCM

Lissu yuko njiani kuhamia.
Aende tu, kijana asiyejitambua ni mzigo kwa babaye! Alikuwa hana hata pesa ya kununua gwanda Mbowe akambeba leo anakuja kufanya mambo ya kipumbavu na kipimbi hivi? Siku Lissu akairudi CCM, sitakaa nishabikie siasa tena!!
 
Sisi mabaamedi hupenda meza yenye bia nyingi. Hatumpendi anayenunua, tunapenda bia.
 
Silinde ni plant yule,,sasa kwa habari yake tunampeleka ubwana mifugo wa wilaya kule ubaruku,,akahangaike na wafuga ng'ombe wa kisukuma,,
Kuhakikisha ng'ombe wameoga(deep sanitizing) na wamekunywa dawa kwa wakati
 
Wananchi walimchagua sababu walitaka mabadiliko ya kweli,najua utamwagwa kwenye kura za maoni.
 
Plant kivipi Mkuu..
Ukizoea ubunge utaenda kwenye ajira gani iliyo na uhuru na hela nyingi kama ubunge?
Silinde ni plant yule,,sasa kwa habari yake tunampeleka ubwana mifugo wa wilaya kule ubaruku,,akahangaike na wafuga ng'ombe wa kisukuma,,
Kuhakikisha ng'ombe wameoga(deep sanitizing) na wamekunywa dawa kwa wakati
 
Back
Top Bottom