Mbunge wa Momba, David Silinde rasmi ahamia CCM

Mbunge wa Momba, David Silinde rasmi ahamia CCM

Uteuzi wa mgombea uraisi ndani ya chadema Mchungaji Msigwa kapigwa pini hata vikiletwa vitu vyake jamii forums vinakuwa deleted na moderators

Inaelekea wanataka zisikike taarifa za mgombea Tundu Lisu tu hawataki za Msigwa lakini hawamtendei haki kwa chama kinachojiita Cha kidemokrasia inaelekea jamii forums Kuna moderators team Lisu wanamdhibiti Msigwa asiwe hewani na jinsi uthibiti kwake ulivyo mkubwa sidhani Kama hata ubunge Iringa mjini Kama atapitishwa inaonekana Kuna agenda dhidi ya Msigwa kutangaza kugombea uraisi imekuwa nongwa Wanatangaza watu wagombee wakitaka visasi na vinyongo vinaanza

Hili zoezi la ugombea uraisi halitaiacha chadema salama litakikata chama vipande

Sababu Msigwa kanda ya nyanda za juu ana nguvu Sana Tena mno Team Lisu wasidhani watapata kura kirahisi nyanda za juu kusini kwa kumchezea rafu Msigwa watakiona Cha mtema kuni

Chadema wanachezea wababe wa kanda .Kanda ya ziwa wamecheza na Rwakatare na profesa Baregu na wahanga wa MV butiama hawakwenda hata msibani Hadi mbunge akatimuka kuhamia CCM inakula Kwao.Kanda ya kaskazini wamecheza na Dr Slaa,Lowasa,selasini na Komu na Mbatia ya Pwani wamecheza na profesa Safari na Sumaye , Zanzibar na Pemba wamecheza na Duni Haji na watakiona Cha mtema kuni Sasa wanahamia nyanda za juu kusini kwa Msigwa navSilinde wasubiri majibu uchaguzi mkuu kila sehemu wamevuruga na kote Kuna Giants

Safari hii chadema itapata kura chache Sana masna wafuasi wa hao Giants wataipabwakati mgumu chadema kwenye maeneo Yao

Silinde kuhama kaondoka na team
 
Mh.Silinde leo ameomba rasmi kujiunga na Chama Mapinduzi, na amesema yupo tayari kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa nguvu zote.

Spika Ndugai amemkaribisha na kumhamisha kwenye viti vya Upinzani kumpeleka kwenye viti vinavyokaliwa na wabunge wa CCM.

Hivyo kuanzia leo rasmi Silinde ni mbunge wa CCM na atakaa upande wa wabunge wa CCM.

Live kutoka bungeni.
Kwa hio yupo bungeni kwa chama gni?

Ndungai hajasikia ya Burundi? Kibri hakina mwisho mzuri
 
YEHODAYA,
Ahaaaa ahaaa, yaani mnajivuruga vibaya sana, mara unakuja na post kuwa Mbowe na matajiri hawamtaki Lisu, ila wanamtaka Nyalandu. Kaa kaa kisha uje tena na propaganda nyingine mfu. Ila ujue CCM haiwezi kushinda bila kunajisi box la kura.
 
Silinde katoa hotuba matata sana, i always support Mr. President JPM kwa imani kubwa ni mtu wa kipekee kiukweli, just like as Silinde said
 
Mh.Silinde leo ameomba rasmi kujiunga na Chama Mapinduzi, na amesema yupo tayari kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa nguvu zote.

Spika Ndugai amemkaribisha na kumhamisha kwenye viti vya Upinzani kumpeleka kwenye viti vinavyokaliwa na wabunge wa CCM.

Hivyo kuanzia leo rasmi Silinde ni mbunge wa CCM na atakaa upande wa wabunge wa CCM.

Live kutoka bungeni.

wametafuta siku ya majanga kwa watu ambao kila mtu anajua wanahamia CCM
 
Aende tu, kijana asiyejitambua ni mzigo kwa babaye! Alikuwa hana hata pesa ya kununua gwanda Mbowe akambeba leo anakuja kufanya mambo ya kipumbavu na kipimbi hivi? Siku Lissu akairudi CCM, sitakaa nishabikie siasa tena!!
 
Ruzuku bado ipo chadema
Mh.Silinde leo ameomba rasmi kujiunga na Chama Mapinduzi, na amesema yupo tayari kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa nguvu zote.

Spika Ndugai amemkaribisha na kumhamisha kwenye viti vya Upinzani kumpeleka kwenye viti vinavyokaliwa na wabunge wa CCM.

Hivyo kuanzia leo rasmi Silinde ni mbunge wa CCM na atakaa upande wa wabunge wa CCM.

Live kutoka bungeni.
 
Mh.Silinde leo ameomba rasmi kujiunga na Chama Mapinduzi, na amesema yupo tayari kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa nguvu zote.

Spika Ndugai amemkaribisha na kumhamisha kwenye viti vya Upinzani kumpeleka kwenye viti vinavyokaliwa na wabunge wa CCM.

Hivyo kuanzia leo rasmi Silinde ni mbunge wa CCM na atakaa upande wa wabunge wa CCM.

Live kutoka bungeni.
Si wameahajiandalia mazingira ya kutokushtakiwa hata wakiikojolea Katiba
 
Back
Top Bottom