Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,423
Shetani kashindwa muokoaNa Leo amelala mauti...
Shetani kashindwa muokoaNa Leo amelala mauti...
Yes pia Hakuna biashara inayolipa Kama ubunge, Ingekuwa ni ya wito wasingefanyaHakuna anaetishwa watu wanaangalia upepo wa mbele...hakuna mbunge asiependa kuendelea kuwa mbunge.
LolHaendi. Huko Uganda, baada ya kuhojiwa kwa kimombo, aliondoka kama anakimbizwa
Yeah,Mbunge akitangaza kuhama chama bado anaendelea kuwa mbunge??
Mlikua wote Bar??Mnauguza mlevi
Kwa mara ya kwanza. CCM watashinda Zanzibar. Sababu CUF watateuwa mgombea wao. ACT wanavutania wanachama,CUF wanawata joto sana ACTACT Vita iko Zanzibar huko, CCM Zanzibar hawalali kwa Sefu na ACT yake.
Ni swala muda tu, hesabu za visiwani sawa na mbu anaengata P*mbu lazima umutoe kwa utulivu
Labda kwanin hawa hamii ACT?
Haendi. Huko Uganda, baada ya kuhojiwa kwa kimombo, aliondoka kama anakimbizwa
cc: WakudadavuwaMh.Silinde leo ameomba rasmi kujiunga na Chama Mapinduzi, na amesema yupo tayari kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa nguvu zote.
Spika Ndugai amemkaribisha na kumhamisha kwenye viti vya Upinzani kumpeleka kwenye viti vinavyokaliwa na wabunge wa CCM.
Hivyo kuanzia leo rasmi Silinde ni mbunge wa CCM na atakaa upande wa wabunge wa CCM.
Live kutoka bungeni.
Mnunuaji ndio anayepanga nani aende wapi. ACT kwa sasa sio darling wa ccm.
ACT Vita iko Zanzibar huko, CCM Zanzibar hawalali kwa Sefu na ACT yake.
Ni swala muda tu, hesabu za visiwani sawa na mbu anaengata P*mbu lazima umutoe kwa utulivu
Politics is the game of chancePolitical Science And Public Administration
chauma kwanza atupendi wanaaaPesa ipo kwa mbatia au kwa Ngosha afate nn huko