Mbunge wa Momba, David Silinde rasmi ahamia CCM

Mbunge wa Momba, David Silinde rasmi ahamia CCM

Kwani JPM hayo madaraja na mabarabara anayoyajenga kwa hela zake za mfukoni watu hawayaoni!? Mbona mnatumia nguvu sana kuwaponda ambao hata serikali hawana!?
 
ACT Vita iko Zanzibar huko, CCM Zanzibar hawalali kwa Sefu na ACT yake.

Ni swala muda tu, hesabu za visiwani sawa na mbu anaengata P*mbu lazima umutoe kwa utulivu
Kwa mara ya kwanza. CCM watashinda Zanzibar. Sababu CUF watateuwa mgombea wao. ACT wanavutania wanachama,CUF wanawata joto sana ACT
 
Mh.Silinde leo ameomba rasmi kujiunga na Chama Mapinduzi, na amesema yupo tayari kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa nguvu zote.

Spika Ndugai amemkaribisha na kumhamisha kwenye viti vya Upinzani kumpeleka kwenye viti vinavyokaliwa na wabunge wa CCM.

Hivyo kuanzia leo rasmi Silinde ni mbunge wa CCM na atakaa upande wa wabunge wa CCM.

Live kutoka bungeni.
cc: Wakudadavuwa
 
Silinde angehamia ACT Momba si angepita??
ACT Vita iko Zanzibar huko, CCM Zanzibar hawalali kwa Sefu na ACT yake.

Ni swala muda tu, hesabu za visiwani sawa na mbu anaengata P*mbu lazima umutoe kwa utulivu
 
Back
Top Bottom