Mbunge wa Mbarali adai yanayomkumba ni visasi

Watawala wepi nyie waarabu mnachukulia udhaifu wetu wa ujinga kulimbikiza mali haramu,Magufuli atawaonyesha cha mtemakuni
Waarabu walikula sana vyao tena kwa njia za mkato...atulie tu kama hana kosa alilotenda kuliko kusema maneno mengi wakati hakuna anayejua nani mkweli so far
 
Anasema ni visasi, hebu afunguke vizuri ni visasi baada ya yeye kufanya nini na alimfanyia nani?
 
Mkuu jamii ya kitanzania (Waafrica) tusipoamka sasa hivi tutaoendelea kuwa mazoba. Hawa waraabu, wahindi na wazungu ni wa hovyo sana. Nenda nchi zao uone kwa ngozi yako utakvyo nyanyaswa. Vyombo vyetu vya dola ndivyo vya kupewa lawama. Wanawabeba hawa wapuuzi na kuwaonea watanzania wenzao kwa kuwabambikia kesi. Angalia kwa swala kama hili angekuwa mtanzania mweusi tena asiye na jina tungekuwa tumeishasikia mengi kwenye media. Lakini wanawalinda hawa waarabu na wageni. Mfano mdogo tu Kinana mie nimemfahamu tokea miaka ya 80 wakifanya biashara ya meno ya tembo na ndugu yake mmoja akiitwa Abdilah Hakimu. Huyu Abdilah Hakimu alikuwa akikaa pale Chato, wakiwa na kikundi cha vijana waliokuwa wakiua tembo kwenye pori la Burigi, pamoja na Matabe (wakazi wa Chato/Biharamulo) wanayajua mapori haya. Kipindi hicho walikuwa wakiuwa tembo meno yanahifadhiwa Kwa mzee mmoja (Kitengure) akiishi Nyamirembe. Haya meno ya tembo yalikuwa yakisafirishwa usiku kwa kutumia Malori ya Chato Ginnery na kusindikizwa na askari kutoka kituo cha Nyamirembe polisi (askari Jovin na wenzake wamefanya hii kazi sana). Sasa shangaa leo hii Kinana ni nani nchi hii?


Kwa hiyo kuhusu hili la Mbarali, ni dhahiri kabisa kuwa vyombo vya dola vinaulinda mfumo wa Ujangiri. Na majangiri wanawajua fika. Lakini kwa kuwa na wao niwanufaika ndo maana unaona kigugumizi.

sio unawasingizia marehemu kweli wewe?
Burigi kuna tembo? akina Jovin walikuwa wanayasindikiza kutoka kituo cha polisi kuyapeleka wapi?
 
Mkuu jamii ya kitanzania (Waafrica) tusipoamka sasa hivi tutaoendelea kuwa mazoba. Hawa waraabu, wahindi na wazungu ni wa hovyo sana. Nenda nchi zao uone kwa ngozi yako utakvyo nyanyaswa. Vyombo vyetu vya dola ndivyo vya kupewa lawama. Wanawabeba hawa wapuuzi na kuwaonea watanzania wenzao kwa kuwabambikia kesi. Angalia kwa swala kama hili angekuwa mtanzania mweusi tena asiye na jina tungekuwa tumeishasikia mengi kwenye media. Lakini wanawalinda hawa waarabu na wageni. Mfano mdogo tu Kinana mie nimemfahamu tokea miaka ya 80 wakifanya biashara ya meno ya tembo na ndugu yake mmoja akiitwa Abdilah Hakimu. Huyu Abdilah Hakimu alikuwa akikaa pale Chato, wakiwa na kikundi cha vijana waliokuwa wakiua tembo kwenye pori la Burigi, pamoja na Matabe (wakazi wa Chato/Biharamulo) wanayajua mapori haya. Kipindi hicho walikuwa wakiuwa tembo meno yanahifadhiwa Kwa mzee mmoja (Kitengure) akiishi Nyamirembe. Haya meno ya tembo yalikuwa yakisafirishwa usiku kwa kutumia Malori ya Chato Ginnery na kusindikizwa na askari kutoka kituo cha Nyamirembe polisi (askari Jovin na wenzake wamefanya hii kazi sana). Sasa shangaa leo hii Kinana ni nani nchi hii?


Kwa hiyo kuhusu hili la Mbarali, ni dhahiri kabisa kuwa vyombo vya dola vinaulinda mfumo wa Ujangiri. Na majangiri wanawajua fika. Lakini kwa kuwa na wao niwanufaika ndo maana unaona kigugumizi.


hii ni chungu sana ila ni dawa
 
ingekuwa kama amr yangu mwarabu asingepata cheo cha aina yoyote ile hapa tanzania tena toka ngaz ya chn kabisa,lkn pia walipaswa kutengewa maeneo yao kwa kuwa wao n wabaguz sana! mbaya zaid wanalindwa na serikal kuliko hata mzawa. m2 anafanya kosa anamalizana juu kwa juu na police,maguful kama unasoma nyuz hum jf litambue hlo,umesikia wap mwarab au mhnd kalala sero? watu hawa ndio waharibf wa mazingira mf pale kariakoo wanakojoa kwene chupa za take away haf wanazirusha mtaan lkn wakulaumiwa n weus tzd! waafatiliwe hawa waache kujitetea kabla ya kuhojiwa wako ccm il wajifche.
 
~~~>>Anataka kumaanisha kuwa awamu ya Tano wana bifu na awamu ya Nne??!!

~~~~>>>Huu ujinga akamueleze mke wake wakiwa chumbani........
 
ingekuwa kama amr yangu mwarabu asingepata cheo cha aina yoyote ile hapa tanzania tena toka ngaz ya chn kabisa,lkn pia walipaswa kutengewa maeneo yao kwa kuwa wao n wabaguz sana! mbaya zaid wanalindwa na serikal kuliko hata mzawa. m2 anafanya kosa anamalizana juu kwa juu na police,maguful kama unasoma nyuz hum jf litambue hlo,umesikia wap mwarab au mhnd kalala sero? watu hawa ndio waharibf wa mazingira mf pale kariakoo wanakojoa kwene chupa za take away haf wanazirusha mtaan lkn wakulaumiwa n weus tzd! waafatiliwe hawa waache kujitetea kabla ya kuhojiwa wako ccm il wajifche.
pole sna, naona chuki zimekujaa ila alieko juu always yupo juu. na pia cjawah kumskia mwarabu akiwa panyaroad
 
Na huyo dogo aliyeua raia mbona hatupati taarifa kamili kama ashakamatwa ?
 
Mbunge wa mbarali Haroon PirMohamed amedai kwamba kesi feki
Kesi feki wakati Mahakama imeikuta familia yake na hatia, wakahukumiwa miaka 20 jela au faini ya Tshs. 138 milioni!
Walipoamua kulipa hiyo faini walifikiri ndio inafuta hatia? Jangili tu huyu, na Mahakama imethibitisha pasipo shaka.
 
Yaani mwizi anaingia ndani kuiba na kufanikiwa kuwadhibidi wenyeji lakini jirani anatumia mbinu za ziada kuwa alert majirani na polisi na wakaweza kuizingira nyumba kisha kumkamata. Baadae mwizi anatoka hadharani na kusema ni roho mbaya, visasi nk vya jirani yangu! Ni kwa nini alikubali kulipa faini ya mwanae!? Amekata rufaa!?
 
Mbunge wa mbarali Haroon PirMohamed amedai kwamba kesi feki dhidi yake ni hasira na Visasi vya watawala dhidi yake, kwani alikuwa na ukaribu na utawala uliopita. Hata kesi yake ya ubunge anadai Kuna mkono wa wana CCM. Lakini hashtuki maana hakuna watakalolifanya Kwa sababu vyombo vya dola na mahakama vinamjua kuwa mtu Safi. Kesi ya ubungr Ubunge tuta shindana, na hii ya ujangili nalo tutalishinda kwani ni tuhuma na ushahidi wa kupandikiza. Pirmohammed alikuwa akiongea na wananchi wake waliomshimamisha njiani kumpa pole kutokana na familia yake kuhusu kuhusishwa na ujangili.
Hapo kwenye red, hivi twiga wa KIA walisafirishwa awamu gani vile!?
 
Mbunge wa mbarali Haroon PirMohamed amedai kwamba kesi feki dhidi yake ni hasira na Visasi vya watawala dhidi yake, kwani alikuwa na ukaribu na utawala uliopita. Hata kesi yake ya ubunge anadai Kuna mkono wa wana CCM. Lakini hashtuki maana hakuna watakalolifanya Kwa sababu vyombo vya dola na mahakama vinamjua kuwa mtu Safi. Kesi ya ubungr Ubunge tuta shindana, na hii ya ujangili nalo tutalishinda kwani ni tuhuma na ushahidi wa kupandikiza. Pirmohammed alikuwa akiongea na wananchi wake waliomshimamisha njiani kumpa pole kutokana na familia yake kuhusu kuhusishwa na ujangili.
kumbe huyu ni mpumbavu,utawala uliopita una matatizo gani na utwawala wa sasa?Magufuli hebu chukua kadi ya huyu mtu kwanza
 
Mkuu jamii ya kitanzania (Waafrica) tusipoamka sasa hivi tutaoendelea kuwa mazoba. Hawa waraabu, wahindi na wazungu ni wa hovyo sana. Nenda nchi zao uone kwa ngozi yako utakvyo nyanyaswa. Vyombo vyetu vya dola ndivyo vya kupewa lawama. Wanawabeba hawa wapuuzi na kuwaonea watanzania wenzao kwa kuwabambikia kesi. Angalia kwa swala kama hili angekuwa mtanzania mweusi tena asiye na jina tungekuwa tumeishasikia mengi kwenye media. Lakini wanawalinda hawa waarabu na wageni. Mfano mdogo tu Kinana mie nimemfahamu tokea miaka ya 80 wakifanya biashara ya meno ya tembo na ndugu yake mmoja akiitwa Abdilah Hakimu. Huyu Abdilah Hakimu alikuwa akikaa pale Chato, wakiwa na kikundi cha vijana waliokuwa wakiua tembo kwenye pori la Burigi, pamoja na Matabe (wakazi wa Chato/Biharamulo) wanayajua mapori haya. Kipindi hicho walikuwa wakiuwa tembo meno yanahifadhiwa Kwa mzee mmoja (Kitengure) akiishi Nyamirembe. Haya meno ya tembo yalikuwa yakisafirishwa usiku kwa kutumia Malori ya Chato Ginnery na kusindikizwa na askari kutoka kituo cha Nyamirembe polisi (askari Jovin na wenzake wamefanya hii kazi sana). Sasa shangaa leo hii Kinana ni nani nchi hii?


Kwa hiyo kuhusu hili la Mbarali, ni dhahiri kabisa kuwa vyombo vya dola vinaulinda mfumo wa Ujangiri. Na majangiri wanawajua fika. Lakini kwa kuwa na wao niwanufaika ndo maana unaona kigugumizi.
Mkuu hizi tumua nzito jiandae kupelekwa mahakamani
 
Nachopinga hapa ni ubaguzi tena ni kitu kibaya sana. Mwalimu nyerere alisema ubaguzi kama kula nyama ya binadamu. Nchi hii hatujajengwa kimaadili kuitana kwa kusudi ya dharau au chuki labda utani tu kwa majina ya ukoo au kabila. Tunapo changia jambo tuwe na tahadhari na hili. Nimesoma post za wilaya ya mbarali nyingi tu. ukweli unabaki kwa wana mbarali na serikali kuthibitisha ndipo sheria ichukue mkondo wake. kama huna hakika kukaa kimya ni busara na kama una hakika na ushahidi peleka mbele ya sheria. Na ukweli ni ukweli tu utakuja siku kujitenga na uongo kila kitu kitajulikana. sina zaidi ni hayo watanzania wote wana haki sawa pasina kujali kabila rangi jinsia n.k.
 
Nachopinga hapa ni ubaguzi tena ni kitu kibaya sana. Mwalimu nyerere alisema ubaguzi kama kula nyama ya binadamu. Nchi hii hatujajengwa kimaadili kuitana kwa kusudi ya dharau au chuki labda utani tu kwa majina ya ukoo au kabila. Tunapo changia jambo tuwe na tahadhari na hili. Nimesoma post za wilaya ya mbarali nyingi tu. ukweli unabaki kwa wana mbarali na serikali kuthibitisha ndipo sheria ichukue mkondo wake. kama huna hakika kukaa kimya ni busara na kama una hakika na ushahidi peleka mbele ya sheria. Na ukweli ni ukweli tu utakuja siku kujitenga na uongo kila kitu kitajulikana. sina zaidi ni hayo watanzania wote wana haki sawa pasina kujali kabila rangi jinsia n.k.
Kwenda kule!.Wahindi ama waarabu ama makalasinga hawana haki hapa tanzania!.Wakatafute haki kwao india!
 
Mmmmmh

Wapi walimsimamisha? na picha zipo wapi tuone?

Pia mbona hajamuongelea mtoto wake?

Naona unataka kujisafisha ila habari wengine akina sisi tinasikiliza zile, sababu hakuna moshi bila moto.
Pirmohamed mhindi na Mulla muarabu ndio mwenye mtoto sio watu wawili tofauti kweli hawa?? Au nimechemsha ?
 
Nachopinga hapa ni ubaguzi tena ni kitu kibaya sana. Mwalimu nyerere alisema ubaguzi kama kula nyama ya binadamu. Nchi hii hatujajengwa kimaadili kuitana kwa kusudi ya dharau au chuki labda utani tu kwa majina ya ukoo au kabila. Tunapo changia jambo tuwe na tahadhari na hili. Nimesoma post za wilaya ya mbarali nyingi tu. ukweli unabaki kwa wana mbarali na serikali kuthibitisha ndipo sheria ichukue mkondo wake. kama huna hakika kukaa kimya ni busara na kama una hakika na ushahidi peleka mbele ya sheria. Na ukweli ni ukweli tu utakuja siku kujitenga na uongo kila kitu kitajulikana. sina zaidi ni hayo watanzania wote wana haki sawa pasina kujali kabila rangi jinsia n.k.
We ponjoro tulia..
 
Nitafarijika saaana kuona wahindi/waarabu wengi nao wakienda jela
 
Back
Top Bottom