fullcup
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 806
- 2,182
Kesho tarehe 5/07/2023 ndio siku ambayo mwili wa aliyekua mbunge wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndugu Francis Mtega utazikwa huko kwao Ludwa. Kuzikwa kwake kutafungua nafasi ya kufanyika Kwa uchaguzi mdogo Ili kuziba nafasi yake.
Kufuatia msimamo wa serikali wa kuondoa wananchi maeneo mbalimbali ya kiuchumi hasa mashamba ya mpunga ya Madibira phase 2, mwanavala, mnazi na mahongole umeongeza chuki ya wananchi dhidi ya Chama Cha mapinduzi. Ikimbukwe waziri mkuu alikua mbarali na kuifuta GN 28 kwahiyo wananchi wanaondolewa Kwa Sheria iliyofutwa jambo ambalo limepelekea uwepo wa msururu wa kesi mahakamani na vikao vingi vya usuruhishi.
Kwa miaka mingi tangu 2008 CCM ilikua ikitumia GN 28 kujipatia kura za kutosha Kwa madai ya kuitetea mbarali dhidi ya Sheria Hiyo. Kwahiyo Kila ukikaribia uschaguzi suala Hilo lilikua likiibuliwa na CCM wanaliweka sawa wanapita. Mfano 2008, 2015,2019, na 2022. Lilipoibuliwa 2022 inasemekana ilipangwav2024 warudishiwe wananchi Ili 2025 kura zizolewe za kutosha. Bahati mbaya imetokea ajali na uchaguzi lazima ufanyike wakati ambao suala hili limepamba moto na kitaifa Kuna suala la bandari.
Kwasasa mbarali chama Cha mapinduzi hata angegombea Spika Dr. Tulia na upinzani agombee kijana wa bodaboda uchaguzi utakua mgumu Kwa Spika. Cha kufanya labda srikal ilipe fidia Kwa haraka Kwa wahanga wa maeneo hayo ( jambo lisilowezekana maana hata tahimini maeneo mengi bado), itangaze kurudisha maeneo Kwa wananchi kuelekea uchaguzi mdogo.
Kufuatia msimamo wa serikali wa kuondoa wananchi maeneo mbalimbali ya kiuchumi hasa mashamba ya mpunga ya Madibira phase 2, mwanavala, mnazi na mahongole umeongeza chuki ya wananchi dhidi ya Chama Cha mapinduzi. Ikimbukwe waziri mkuu alikua mbarali na kuifuta GN 28 kwahiyo wananchi wanaondolewa Kwa Sheria iliyofutwa jambo ambalo limepelekea uwepo wa msururu wa kesi mahakamani na vikao vingi vya usuruhishi.
Kwa miaka mingi tangu 2008 CCM ilikua ikitumia GN 28 kujipatia kura za kutosha Kwa madai ya kuitetea mbarali dhidi ya Sheria Hiyo. Kwahiyo Kila ukikaribia uschaguzi suala Hilo lilikua likiibuliwa na CCM wanaliweka sawa wanapita. Mfano 2008, 2015,2019, na 2022. Lilipoibuliwa 2022 inasemekana ilipangwav2024 warudishiwe wananchi Ili 2025 kura zizolewe za kutosha. Bahati mbaya imetokea ajali na uchaguzi lazima ufanyike wakati ambao suala hili limepamba moto na kitaifa Kuna suala la bandari.
Kwasasa mbarali chama Cha mapinduzi hata angegombea Spika Dr. Tulia na upinzani agombee kijana wa bodaboda uchaguzi utakua mgumu Kwa Spika. Cha kufanya labda srikal ilipe fidia Kwa haraka Kwa wahanga wa maeneo hayo ( jambo lisilowezekana maana hata tahimini maeneo mengi bado), itangaze kurudisha maeneo Kwa wananchi kuelekea uchaguzi mdogo.