Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe

Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe

Magita

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2013
Posts
319
Reaction score
144
Hivi kutoa misaada ktk jimbo lako kukaribia na uchaguzi mkuu ni haki? kwanini hukutoa ile misaada tangu zamani wakati wananchi walikuwa wakikulalamikia? hii ni rushwa ya uchaguzi ili wananchi wakuone unafaa. Wana Ludewa chukueni hatua, fikirieni kwa kina itakuja kuwagharimu.Miaka 5 imefika ndio leo unatoa shuka,vyandarua hospitalini.
 
Huyu jamaa hata mimi namshangaa maana siku hizi anajifanya yupo karibu sana wananchi na kutoa misaada.
 
Huyu jamaa hata mimi namshangaa maana siku hizi anajifanya yupo karibu sana wananchi na kutoa misaada.

Ndio nasema wananchi hapo ndio wanatakiwa watumie akili zao za kuzaliwa, mtu amekaa miaka 5 leo hii anawaletea shuka za elfu 6, 6. Lazima mjitambue eti wanamshangilia, mpaka nawaonea huruma. Ok lakini kampeni upande wa vijijini raha tupu mzee kasoma hadi std (iv), kutoka january hadi hii leo April hajawahi kukamata hata elfu 5, sasa leo unampa khanga na elf 25,000 atakuona wewe kama Mungu wake
 
hivi kutoa misaada ktk jimbo lako kukaribia na uchaguzi mkuu ni haki? Kwanini hukutoa ile misaada tangu zamani wakati wananchi walikuwa wakikulalamikia? Hii ni rushwa ya uchaguzi ili wananchi wakuone unafaa. Wana ludewa chukueni hatua, fikirieni kwa kina itakuja kuwagharimu.miaka 5 imefika ndio leo unatoa shuka,vyandarua hospitalini.

tokea zaman alikuwa anatoa misaada sema saiv speed imeongezeka
 
Ludewa uelewa mdogo ndomaana deo anajua namna ya kucheza nao
 
Hivi kutoa misaada ktk jimbo lako kukaribia na uchaguzi mkuu ni haki? kwanini hukutoa ile misaada tangu zamani wakati wananchi walikuwa wakikulalamikia? hii ni rushwa ya uchaguzi ili wananchi wakuone unafaa. Wana Ludewa chukueni hatua, fikirieni kwa kina itakuja kuwagharimu.Miaka 5 imefika ndio leo unatoa shuka,vyandarua hospitalini.

Hivi Kutoa Msaada Napo Kuna Ratiba Na Masharti Yake? Kumbe Watanzania Wengi Bado Hatujawa Democratically Matured Na Its So Sad!
 
Mnaomlaumu Filikunjombe sielewi ni kwanini.Mbona wengine hata kwenda jimboni ni shida. Nadhani wano laumu ni wanga wa ESCRO ambayo umemuondoa ndugu yao kwenye ulaji
 
Zawadi/Msaada hutolewa kutokana nafasi ya mtu, ambayo ni majaliwa ya mwenyezi Mungu, na inategemea ni lini Mungu amemtunuku neema hiyo. Binafsi naona Deo kapata neema wakati huu na bahati mbaya ni karibia na kipindi cha uchaguzi, lakini huyu ni mtu wa watu siku zote.
 
Hivi kutoa misaada ktk jimbo lako kukaribia na uchaguzi mkuu ni haki? kwanini hukutoa ile misaada tangu zamani wakati wananchi walikuwa wakikulalamikia? hii ni rushwa ya uchaguzi ili wananchi wakuone unafaa. Wana Ludewa chukueni hatua, fikirieni kwa kina itakuja kuwagharimu.Miaka 5 imefika ndio leo unatoa shuka,vyandarua hospitalini.
dsc00054.jpg


Filikunjombe alitoa msaada wa pikipiki 34 kwa madiwani Ludewa, hiyo ni mwaka huu?

DSCF7201.JPG

Hii ambulance aliitoa msaada kituo cha afya Mlangali mwanzoni kabisa mwa ubunge wake

IMG_8463.jpg


Zaidi ya mwaka mmoja umepita tangu atoe msaada huu wa marumaru kwa kanisa la Anglican Ludewa

DSC_0377.JPG


Kila pasaka na Christmas huenda kuwatembelea wagonjwa na kula nao chakula anachowaandalia

Ninachoweza kukiona hapa ni maadui wake ambao walikuwa wanalimezea mate jimbo la Ludewa, ukweli ni vigumu kwenu maana ukitaka kwenda kugombea jimbo la Ludewa sawa kichuguu kushindana na Filikunjombe Mlima Kilimanjaro.
 
Lakini deo anajitahidi sana lakin haya maibilisi mengine Ni maalishababu yasiyo na siraha
 
Kama hujawahi kufika ludewa na kuzungumza na watu wa ludewa juu ya deo ndo utaweza kumjua deo,kwasasa anakamilisha ahadi
 
dsc00054.jpg


Filikunjombe alitoa msaada wa pikipiki 34 kwa madiwani Ludewa, hiyo ni mwaka huu?

DSCF7201.JPG

Hii ambulance aliitoa msaada kituo cha afya Mlangali mwanzoni kabisa mwa ubunge wake

IMG_8463.jpg


Zaidi ya mwaka mmoja umepita tangu atoe msaada huu wa marumaru kwa kanisa la Anglican Ludewa

DSC_0377.JPG


Kila pasaka na Christmas huenda kuwatembelea wagonjwa na kula nao chakula anachowaandalia

Ninachoweza kukiona hapa ni maadui wake ambao walikuwa wanalimezea mate jimbo la Ludewa, ukweli ni vigumu kwenu maana ukitaka kwenda kugombea jimbo la Ludewa sawa kichuguu kushindana na Filikunjombe Mlima Kilimanjaro.

Deo ni jembe wanaludewa wanajua
 
Deo hata afanyaje jimbo linaenda kwa pindi chana, hiyo misaada ni pesa za mgao wake wa Escrow
 
Back
Top Bottom