Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

Tumbo linahusika na si kichwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hassani ngoma anapwaya sanaa, kwanza anashindwa kutambua kuwa Baby kabae ni moderator pale yeye anabishana nae kam anabishana na mkewe nyumbani kwake alafu anaropoka sanaa haongei kwa mpangilio nadhani apellekwe kwenye power breakfast kwa akina gea habibu.

anashindwa kuwa very proofesional hivi hata ukiangalia uchambuzi wa habar wanazungumza tu kijinga jinga.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mbunge ni mwindaji au ni jangili la kuuwa wanyama? Au an kampuni ya kuuza silaha? Kama Yuko karibu na national park Basi amemaliza wanyama porini.
 
Wanafanya hata huyo Babie Kabaye aonekane pwagu ty kumbe dada ana madini mengi tu.
 
Ngoma ni mdini sana!

Hata wakati wa Prof Assad vs Ndugai alikuwa akimsimanga sana Spika Ndugai.



Hicho kipindi kabae na ngoma wote hawana secular thinking, Tanzania kwenye journalism tunafanya kitchen parties, angalia interview zao zote wakifanya na christians utaona hilo, Revisit interview yao na Dr Gwajima they were foolishly exposed on partisanship
 
Wahindi, warabu na wasomali hivi hawa wananchi wanao wachagua huwa wamekosa kwenye makabila yao watu wa kuwachagua? shame on them
 
Wahindi, warabu na wasomali hivi hawa wananchi wanao wachagua huwa wamekosa kwenye makabila yao watu wa kuwachagua? shame on them

Ngozi nyeupe ilibarikiwa yan wanakubalika kotekote, wanajitambua na wachapa kazi,,co kama sisi majungu mbele mwisho ndiomana hatufiki mbali. Angalia watu wa igunga wameyaona matunda chini ya rostam.
 
Ngozi nyeupe ilibarikiwa yan wanakubalika kotekote, wanajitambua na wachapa kazi,,co kama sisi majungu mbele mwisho ndiomana hatufiki mbali. Angalia watu wa igunga wameyaona matunda chini ya rostam.
Nyumba za tembe ndiyo matunda? Moshi, Arusha, Mbeya, Mwanza na Iringa hawajawahi kuchagua mhindi, mwarabu wala msomali mbona wana maendeleo kuliko Singida, Igunga, Morogoro, Kishapu n.k?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…