Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

Sio mara ya kwanza kwa huyu Mbunge kukamatwa kwa jinai na amelkuwa anashinda kesi kwa DPP kutokuwa na haja ya kuendelea nayo!



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sijui kwanini hawa ndugu zetu wenye asili ya damu ya mecca wanapenda sana hizi mambo za uwindaji,mbaya zaidi hawana ustaarabu kwenye uwindaji.


Hapa naona kuna kaharufu kwa udini ,,,vipi huko Roma wanakoabudu lile sanamu wamefika wangapi waliokufa kwa corona? Bavicha chama cha udini na ukabila jibu hili swali👈🏿
 
Sema gari ya mheshimiwa bado mpya sana. DSD, afu Nissan Hadrd Body, bonge la chuma
 
Sheria ichukue mkondo wake, naamini kwa silaha zote hizo alikuwa anawinda wanyama pori kijangili.
 
View attachment 1441653

Polisi mkoani Shinyanga wanamshikilia Mbunge wa Kishapu (CCM) Suleiman Nchambi kwa tuhuma za kukutwa na silaha 16, risasi 536 pamoja na nyara za Serikali
==

Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Suleiman Masoud Suleiman maarufu Suleiman Nchambi (CCM) kwa tuhuma za kupatikana na silaha 10, risasi 536 na nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyawapori kinyume cha sheria.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Jumatano Mei 6,2020, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba amesema tukio hilo limetokea Mei 3,2020 majira ya saa sita kasoro usiku katika mtaa wa Lubaga kata ya Lubaga Manispaa ya Shinyanga.

“Mei 3,2020 majira ya sita kasoro usiku Kikosi kazi cha askari wa upelelezi kikiongozwa na Kaimu Mkuu wa upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoa wa Shinyanga SP Davis Msangi kwa kushirikiana na Afisa wa Wanyamapori mkoa wa Shinyanga Perfect Mbwambo walifanya upekuzi kwenye makazi ya Mbunge wa Jimbo la Kishapu baada ya kupata taarifa za kiintelejensia kuwa Mheshimiwa huyo alikuwa akifanya uwindaji haramu kwenye eneo la Negezi wilayani Kishapu akiwa na gari yenye namba za ujasili T760 DSD Nissan Hard Body”,ameeleza Kamanda Magiligimba.

“Katika upekuzi huo walifanikiwa kukamata nyama iliyodhaniwa kuwa ni wanyamapori yenye uzito wa kilogramu 35 zikiwa zimehifadhiwa kwenye jokofu lililokuwa jikoni,jingine sehemu ya mazoezi na nyama nyingine ilikutwa kwenye gari hilo likiwa limeegeshwa nyumbani kwake ndani ya uzio wa nyumba hiyo”,amesema Kamanda Magiligimba.

“Katika gari hilo kulikutwa silaha moja aina ya shortgunWakati askari hao wakiendelea na upekuzi ndani ya chumba chake cha kulala zilipatikana silaha zingine za aina mbalimbali na kufanya jumla ya silaha zilizokamatwa kuwa 16 ambazo ni Airgun 3, Shortgun 3,Rifle 8, Pistol 1 na Mark IV 1 pamoja na risasi 536 zikiwa kwenye kabati la nguo",anaeleza Kamanda.

“Baada ya uchunguzi wa awali iligundulika kuwa silaha 10 ambazo ni Airgun 2, Rifle 5, Shortgun 2 na Mark IV 1 kati ya 16 anazimiliki isivyo halali”,ameeleza Kamanda Magiligimba.

Kamanda Magiligimba amesema nyama hizo zimepelekwa maabara ya mkemia mkuu wa Serikali kwa uchunguzi zaidi na gari husika limekamatwa.

“Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika. Natoa onyo kali kwa yeyote atakayejihusisha na vitendo vya kumiliki silaha isivyo kihalali hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake”,amesema Kamanda Magiligimba.
Hivi huyu ndugu ndo mmiliki wa ile kampuni ya junior construction?
 
View attachment 1441653

Polisi mkoani Shinyanga wanamshikilia Mbunge wa Kishapu (CCM) Suleiman Nchambi kwa tuhuma za kukutwa na silaha 16, risasi 536 pamoja na nyara za Serikali
==

Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Suleiman Masoud Suleiman maarufu Suleiman Nchambi (CCM) kwa tuhuma za kupatikana na silaha 10, risasi 536 na nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyawapori kinyume cha sheria.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Jumatano Mei 6,2020, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba amesema tukio hilo limetokea Mei 3,2020 majira ya saa sita kasoro usiku katika mtaa wa Lubaga kata ya Lubaga Manispaa ya Shinyanga.

“Mei 3,2020 majira ya sita kasoro usiku Kikosi kazi cha askari wa upelelezi kikiongozwa na Kaimu Mkuu wa upelelezi wa Makosa ya Jinai mkoa wa Shinyanga SP Davis Msangi kwa kushirikiana na Afisa wa Wanyamapori mkoa wa Shinyanga Perfect Mbwambo walifanya upekuzi kwenye makazi ya Mbunge wa Jimbo la Kishapu baada ya kupata taarifa za kiintelejensia kuwa Mheshimiwa huyo alikuwa akifanya uwindaji haramu kwenye eneo la Negezi wilayani Kishapu akiwa na gari yenye namba za ujasili T760 DSD Nissan Hard Body”,ameeleza Kamanda Magiligimba.

“Katika upekuzi huo walifanikiwa kukamata nyama iliyodhaniwa kuwa ni wanyamapori yenye uzito wa kilogramu 35 zikiwa zimehifadhiwa kwenye jokofu lililokuwa jikoni,jingine sehemu ya mazoezi na nyama nyingine ilikutwa kwenye gari hilo likiwa limeegeshwa nyumbani kwake ndani ya uzio wa nyumba hiyo”,amesema Kamanda Magiligimba.

“Katika gari hilo kulikutwa silaha moja aina ya shortgunWakati askari hao wakiendelea na upekuzi ndani ya chumba chake cha kulala zilipatikana silaha zingine za aina mbalimbali na kufanya jumla ya silaha zilizokamatwa kuwa 16 ambazo ni Airgun 3, Shortgun 3,Rifle 8, Pistol 1 na Mark IV 1 pamoja na risasi 536 zikiwa kwenye kabati la nguo",anaeleza Kamanda.

“Baada ya uchunguzi wa awali iligundulika kuwa silaha 10 ambazo ni Airgun 2, Rifle 5, Shortgun 2 na Mark IV 1 kati ya 16 anazimiliki isivyo halali”,ameeleza Kamanda Magiligimba.

Kamanda Magiligimba amesema nyama hizo zimepelekwa maabara ya mkemia mkuu wa Serikali kwa uchunguzi zaidi na gari husika limekamatwa.

“Mtuhumiwa atafikishwa mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika. Natoa onyo kali kwa yeyote atakayejihusisha na vitendo vya kumiliki silaha isivyo kihalali hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake”,amesema Kamanda Magiligimba.
Huyo Mbunge ni jambazi nashangaa Serikali inavyomkumbatia. Alishirikiana na Wafanyakazi wasio waaminifu wa Mgodi wa Serikali wa STAMIGOLD kule Biharamulo kuuuibia Mgodi mabilioni ya pesa hadi Mgodi ukacorrups kabisa halafu yeye akakimbilia Buzwagi
 
Sijui kwanini hawa ndugu zetu wenye asili ya damu ya mecca wanapenda sana hizi mambo za uwindaji,mbaya zaidi hawana ustaarabu kwenye uwindaji.
Hao watu asili yao ni uharamia, angalia maeneo yote waliyokaa Waarabu na hadi leo wameacha hiyo rangi kama vile Igunga, Shinyanga, Tabora, Mpanda, Sikonge, Sumbawanga, Morogoro, hayo ni baadhi ya maeneo waliyokuwa wanaendeshea uharamia wao.
 
Akizungumza huku akiwa kashadadia habari za Ndugai na Mbowe alipofika kwa huyu jambazi akaanza kutetea mara oooh anakibali mara oooh huyu ni mwana ccm anayejitoa. Hivi hiki kipindi mbona kama leo kilipwaya
 
akizungumza huku akiwa kashadadia habari za Ndugai na Mbowe alipofika kwa huyu jambazi akaanza kutetea mara oooh anakibali mara oooh huyu ni mwana ccm anayejitoa. Hivi hiki kipindi mbona kama leo kilipwaya

Kusaga ajiongeze 360 pale akili za contempolary journalism ni zero
 
akizungumza huku akiwa kashadadia habari za Ndugai na Mbowe alipofika kwa huyu jambazi akaanza kutetea mara oooh anakibali mara oooh huyu ni mwana ccm anayejitoa. Hivi hiki kipindi mbona kama leo kilipwaya
Ngoma ni mdini sana!

Hata wakati wa Prof Assad vs Ndugai alikuwa akimsimanga sana Spika Ndugai.
 
Ana kibali cha kukaa na silaha za moto zaidi ya 10? Kwani ana kampuni ya ulinzi? Hahaha hata kama ni hobby mtu hawezi kua na silaha nyingi kiasi kile, huyu mzee lazima kuna kitu haramu anafanya wamchunguze kwa umakini sana.
 
Back
Top Bottom