sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,010
- 8,355
Hassani ngoma anapwaya sanaa, kwanza anashindwa kutambua kuwa Baby kabae ni moderator pale yeye anabishana nae kam anabishana na mkewe nyumbani kwake alafu anaropoka sanaa haongei kwa mpangilio nadhani apellekwe kwenye power breakfast kwa akina gea habibu.
anashindwa kuwa very proofesional hivi hata ukiangalia uchambuzi wa habar wanazungumza tu kijinga jinga.
Sent using Jamii Forums mobile app