Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kila masika na mbu wake huo ni msemo wa wahenga.
Kwa sasa wale wote waliopatiwa ubunge kama zawadi ya upendo kutoka kwa wenye mamlaka waanze kuaga.
Baada ya angalau mbinyo wa kisiasa kupunguzwa na mikutano ya kisiasa kuruhusiwa sasa ni wazi cdm itafanya miujiza kwenye majimbo mengi sana.
Leo hii tumetoa salaam kwa mama yetu hapa Iringa kuwa wenye jimbo letu tumerudi tena kwa hasira sana.
Kwa sasa wale wote waliopatiwa ubunge kama zawadi ya upendo kutoka kwa wenye mamlaka waanze kuaga.
Baada ya angalau mbinyo wa kisiasa kupunguzwa na mikutano ya kisiasa kuruhusiwa sasa ni wazi cdm itafanya miujiza kwenye majimbo mengi sana.
Leo hii tumetoa salaam kwa mama yetu hapa Iringa kuwa wenye jimbo letu tumerudi tena kwa hasira sana.