Kwani shibuda ni CHADEMA? Gazeti lao shibuda wao.
Ulijuaje? Yaani umeandika kama yanatoka moyoni mwangu vile. Keep it up! Tena hii ina-summarize kila kitu katika thread hii
Kwani shibuda ni CHADEMA? Gazeti lao shibuda wao.
Kweli maajabu ya dunia hayatakwisha, tangu lini chama kinachokumbatia rushwa na ufisadi kikawa chama makini?Ccm ni chama makini siku zote wakisema lakini kinasonga mbele.
Ccm ni chama makini siku zote wakisema lakini kinasonga mbele.
Akili yako imekaa kimsalani, napata taabu sana kuamini kama zaidi ya kujua kusoma na kuandika unacha zaidi!...Ila Shibuda ni gangwe, Hapo CHADEMA hakuna wa kumnyanyulia mdomo. Keep it up Shibuda, tunahitaji wabunge wengine mia, majasiri kama wewe!
Kimoyo moyo machadema wengi wanaipenda sana ccm ila machoni ni wanafiki ndio mana ht slaa anailipia kadi ya ccm hadi leoAlishawahi kunena hata Mwenyekiti wenu Mbowe kuwa hajawahi kuona Rais bora na mchapakazi Kama JK na kumwagia sifa kibao lakini hitimisho lake kwa wanachama ati Mbowe ni MSALITI!
Hivi CDM mnaumwa ugonjwa gani? Kila mtu akisifia CCM ati msaliti na ndumilakuwili! Hata Slaa mlishawahi kumnanga humu humu JF!
Upinzani si kukosoa kila kitu ni kusema ukweli kwa Yale yanayofanyika na kusema NO kwa Yale yasiyofanyika! Tumefundishwa kuafikiana na kutofautiana!
Fisadi ni mbowe anayechota mabilionibya chadema kwenda kununua majumba dubaiCCM ni chama makini kwenye familia yako na familia zote za mafisada na ukoo wenu wa panya.
Hapo umekosea sana Shibuda amewavulia sana nyie na huo ukabila wenu amejionea mwenyewe ni jinsi gani Chadema kisivyo na mwelekeo.
Akili yako imekaa kimsalani, napata taabu sana kuamini kama zaidi ya kujua kusoma na kuandika unacha zaidi!
Hapo umekosea sana Shibuda amewavulia sana nyie na huo ukabila wenu amejionea mwenyewe ni jinsi gani Chadema kisivyo na mwelekeo.
Kweli maajabu ya dunia hayatakwisha, tangu lini chama kinachokumbatia rushwa na ufisadi kikawa chama makini?
Msimamo wa shibuda anaujua yeye na wapiga kura wake jamaa anapendwa balaa hata akienda chama gani watu wake watamfuata tu.
Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;
Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.
Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.
Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.
Chanzo: Gazeti la Uhuru!
Hatujawahi kuona msukuma hovyoo kama huyu anatutia aibu sana. Hivi chadema mnasubiri nini kumfukuzia mbali mtu kama huyu?
Msalani, tangu lini chama kinachokumbatia rushwa na ufisadi (CCM) kikawa chama makini?Mlishamwona Shibuda kwenye maandamano yenu?
Msalani, tangu lini CCM ya rushwa ikawa makini?Shibuda anaijua demokrasia ya kweli, hayumbishwi na wachaga yule!
Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;
Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.
Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.
Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.
Chanzo: Gazeti la Uhuru!
Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;
Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.
Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.
Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.
Chanzo: Gazeti la Uhuru!