Hapo umekosea sana Shibuda amewavulia sana nyie na huo ukabila wenu amejionea mwenyewe ni jinsi gani Chadema kisivyo na mwelekeo.
Akili yako iko sawasawa...
Hapo umekosea sana Shibuda amewavulia sana nyie na huo ukabila wenu amejionea mwenyewe ni jinsi gani Chadema kisivyo na mwelekeo.
Huyu Shibuda tumemvumilia sana. Amalize tu hiki kipindi
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Ccm ni chama makini siku zote wakisema lakini kinasonga mbele.
uhuru,shibuda wala sipati taabu
Huyu "Mnafiki" hatumpigi?
Shibuda ni mtu wa watu...
Hatujawahi kuona msukuma hovyoo kama huyu anatutia aibu sana. Hivi chadema mnasubiri nini kumfukuzia mbali mtu kama huyu?
Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;
Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.
Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.
Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.
Chanzo: Gazeti la Uhuru!
Mara ya mwisho nakumbuka mwenyekiti wa Chadema ndugu Mbowe akimwaga sifa kedekede kwa Mwenyekiti wa CCM, JK, pindi JK alipoenda kule Hai kilimanjaro kufungua mradi wa barabara!. Kwa hiyo tusiwe na double standards, kama mtu ni mchapakazi apewe sifa yake!!. au kama tunamshambulia Shibuda, basi tukumbuke Mbowe ndo alitoa sifa zaidi kwa kiongozi wa CCM!!!
looser!!!Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;
Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.
Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.
Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.
Chanzo: Gazeti la Uhuru!
Ccm ni chama makini siku zote wakisema lakini kinasonga mbele.