Mbunge wa CHADEMA ataka wananchi waiamini CCM!!

Mbunge wa CHADEMA ataka wananchi waiamini CCM!!

Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;

Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.

Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.

Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.

Chanzo: Gazeti la Uhuru!

Si Ungesema Shibuda kasema.. kwani kuna ulazima gani kuitaja CHADEMA.
 
Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;

Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.

Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.

Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.

Chanzo: Gazeti la Uhuru!
Gazeti la Uhuru+Mbunge Shibuda=Chama cha Magamba!
 
Hivi huyu Jama wakti wa Uchaguzi alipewa kesi ya Mauaji?
marahii amesahahu? jinsi watu walivyomteta na kumpigania?
Inshalaah Mungu atamlipa Mnafki kama huyu.
 
Yani nliposoma tu heading nikajua tu kuwa lazma ni huyo jamaa!!
 
Huyu jamaa bado yupo?huwa simwelewagi hata kidogo!
 
nlivosikia mbunge wa chadema ataka wananchi waiamini ccm nlishtuka kidogo sasa nliposoma nikaona ni shibuda, nikashusha pumzi,, aahh kumbe shibuda bwana!! huyo ni gamba in nature!!
 
Kumbe source ni gazeti la uhuru...dah...gazeti la uhuru nila udaku, uwongo na uzandiki.
 
Haya sasa ni matusi kwa nini unaamua kumdhalilisha kiasi hiki huyu Shibuda, hata kama anafanya mambo ya kijinga kumtukana si sahihi

Kamanda hapo nilimaanisha amewavumilia sisi waungwana kejeli hatujui; ila inaonyesha wewe ni mtu wa kupenda matusi!
 
Kwa hiyo ulitaka AKUVULIE wewe? Una wivu wa kike sanaee?
Shibuda kumbe huu ndio mchezo wake wa kuvulia watu nanihii yake?
Alijipendekeza Cdm akaingia kichwa kichwa,ndio maana ametuvulia na akapasuliwa hiyo ngogwe yake.

wewe mliberal una la zaidi????
 
Kumbe source ni gazeti la uhuru...dah...gazeti la uhuru nila udaku, uwongo na uzandiki.

Kwa shibuda,mkuu hata kama ningekuta imeandikwa na mtu uchochoroni hiyo habari, achilia mbali gazeti la uhuru ningeamini. Na tatizo hapa lipo chadema kwa kuchelewesha m4c huko maswa.kiukweli shibuda anakubalika kuliko chama na ndio anayafanya haya kwa hicho kiburi. Viongozi pelekeni timu kule ili wananchi wakiamini chama badala ya huyu gamba.mbona atanywea mwenyewe tu!
 
Binafsi nimetokea kumkubali sana Kinana pamoja na Utembo wake
 
Back
Top Bottom