Mbunge wa CHADEMA ataka wananchi waiamini CCM!!

Mbunge wa CHADEMA ataka wananchi waiamini CCM!!

sokoinei

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
1,832
Reaction score
566
Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;

Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.

Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.

Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.

Chanzo: Gazeti la Uhuru!
 
Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;

Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.

Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.

Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.

Chanzo: Gazeti la Uhuru!

uhuru,shibuda wala sipati taabu
 
Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;

Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.

Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.

Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.

Chanzo: Gazeti la Uhuru!

Shibuda ni mbunge pekee wa upinzani mwenye mshahara wa ccm,kila mwezi anachukua mshiko wake huyu wala siyo wa kusumbua kichwa naye,nashukuru uongozi wa juu wa cdm baada ya kumgundua walimwacha aendeleze upuuzi wake wangejaribu kubishana naye ingeigharimu chama.
 
Msimamo wa shibuda anaujua yeye na wapiga kura wake jamaa anapendwa balaa hata akienda chama gani watu wake watamfuata tu.

Una macho lakini huoni! Subiri uchaguzi umekaribia ndiyo utajijua huoni.
 
Sijaona tatizo hapa kwa sababu kutoa sifa kwa mtu au taasisi siyo kosa kikanuni, kitaratibu, kiitifaki na kikubwa zaidi, kikatiba ya nchi na chama kilichompitisha kuwa mgombea ubunge.

Kama kwa mtazamo wake anaona anachokifanya Kinana na CCM yake kinafaa mwacheni atoe angalizo lake afterall ni mbunge wa wananchi na siyo wa chama na kwa mujibu wa taratibu za kisiasa zilivyo nchini, kinachofanyika jimboni mwake kwa kiasi kikubwa ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa chama kilichoko madarakani.

Binadamu tunatofautiana katika mitazamo na misimamo na kwa maana hiyo, kuna wengine wana mtazamo tofauti na wa Mh. John Shibuda.

Hii ndiyo dhana ya kukubali kutokubaliana.
 
Alishawahi kunena hata Mwenyekiti wenu Mbowe kuwa hajawahi kuona Rais bora na mchapakazi Kama JK na kumwagia sifa kibao lakini hitimisho lake kwa wanachama ati Mbowe ni MSALITI!

Hivi CDM mnaumwa ugonjwa gani? Kila mtu akisifia CCM ati msaliti na ndumilakuwili! Hata Slaa mlishawahi kumnanga humu humu JF!

Upinzani si kukosoa kila kitu ni kusema ukweli kwa Yale yanayofanyika na kusema NO kwa Yale yasiyofanyika! Tumefundishwa kuafikiana na kutofautiana!
 
Shibuda + Uhuru = Pumbest

Sio mnafiki ni msema kweli daima! Ni mfano wa kuigwa kwa wana CDM wote! Kuna wabunge wanataka kuwa Kama Shibuda lakini lol wanashindwa!

Keep it up Shibuda utakumbukwa kwa kusema Ukweli na kutokuwa mnafiki Kama viongozi wengine ndani ya CDM
 
Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;

Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.

Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.

Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.

Chanzo: Gazeti la Uhuru!

Kwani shibuda ni CHADEMA? Gazeti lao shibuda wao.
 
Huyu Shibuda tumemvumilia sana. Amalize tu hiki kipindi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Na mwandishi Stephen Beligeya Dodoma;

Mbunge wa Maswa Magharibi [CHADEMA] John Magale Shibuda,amemwagia sifa katibu mkuu wa CCM Abdrahaman Kinana,kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi mtendaji,makini na mchapa kazi na msikivu ktk kushughulikia kero za wananchi.
Pia alisema kuwa Ccm ni chama sikivu na makini ktk kusikiliza kero za wananchi hivyo kuwataka wananchi kuwa na imani nacho ili matatizo mbalimbali yanayowakabili yaweze kutatuliwa,kauli hii ya Shibuda ambae ni mwana siasa makini na muwazi aliitoa mjini Dodoma.

Alisema inapokuja swala la maendeleo na uzalendo kwa taifa,hapo ndipo inapo dhiirisha namna na jinsi CCM na serikali yake inavyotimiza wajibu ktk kuwatumikia wananchi wake bila kujali itikadi.
Hayo aliyaeleza ktk mkutano wa pamoja kati ya wawakilishi wa wafugaji kutoka wilaya mbalimbali ktk mkoa wa Dodoma,Mbeya na Morogoro ulioandaliwa na Kinana kwa ajili ya kusikiliza kero zonazowakabili.

Shibuda alisema kuwa Kinana amekuwa kiongozi Hodari makini na mchapa kazi,hivyo kuwataka wafugaji hao kuwa na imani nae.

Chanzo: Gazeti la Uhuru!

Hatujawahi kuona msukuma hovyoo kama huyu anatutia aibu sana. Hivi chadema mnasubiri nini kumfukuzia mbali mtu kama huyu?
 
Huyu Shibuda tumemvumilia sana. Amalize tu hiki kipindi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Hapo umekosea sana Shibuda amewavulia sana nyie na huo ukabila wenu amejionea mwenyewe ni jinsi gani Chadema kisivyo na mwelekeo.
 
Back
Top Bottom